Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

Kawaida tu.

Wewe unajisikiaje Obama akiku tag ?
 
Trump Alisha wahi Ku retweet tweet yangu Kule kwenye TL yako niliona ishu ya kawaida sana mzee..
 
[emoji23][emoji23][emoji39] sishindwi, nikianza agenda yangu sitaki kushindwa. Siku ukilike tu mimi napata joto sana haha!!


🀣🀣🀣🀣!...siku ntakunyweshwa miwine πŸ˜‹πŸ˜‹...utajuutraaa!..alafu tunavyochat hapa ova tunafahamiana..lol..nakukjmbusha besdei yangu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!...siku ntakunyweshwa miwine [emoji39][emoji39]...utajuutraaa!..alafu tunavyochat hapa ova tunafahamiana..lol..nakukjmbusha besdei yangu
Tukipiga [emoji485] nina uhakika wewe ndio utapata "shida"! Kwani kufahamiana si kunaanzia hapa, siku nikikuona tunaendeleza tu, hem' ngoja nipunguze hili tumbo kwanza hahaha[emoji23][emoji23]
 
Tukipiga [emoji485] nina uhakika wewe ndio utapata "shida"! Kwani kufahamiana si kunaanzia hapa, siku nikikuona tunaendeleza tu, hem' ngoja nipunguze hili tumbo kwanza hahaha[emoji23][emoji23]

🀣🀣🀣tumbo linapendezea shati bwana wee!..tumbo lina hadhi yake mkuu...hata bank unakopesheka bila dhamana...! Ila lisizidi usije umia style zingine🀣🀣🀣(akili za kukosa kaz hizi)
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]tumbo linapendezea shati bwana wee!..tumbo lina hadhi yake mkuu...hata bank unakopesheka bila dhamana...! Ila lisizidi usije umia style zingine[emoji1787][emoji1787][emoji1787](akili za kukosa kaz hizi)
Naendelea kulike posts zako, ukilike zangu napata faraja halafu naendelea kuhamasika[emoji39][emoji39][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…