Unajisikiajie Maxence Melo anapo like "post" yako

Kumbe na yeye yuko humu?anatumia Id gani mkuu
 
Ni sawa na mama ntilie kula chakula chake mwenyewe wewe unajisikiaje?
 
Raha sana,Kama kurudisha fadhila mara moja moja nilikua naenda kwa profiles zao(mods)nachapa likes za kutosha

Daah waliponiamulia ban mfululizo nimewaziraaaa


Ww unakulaga ban?? DuhπŸ˜…πŸ˜…! Mie mwaka mpya tu ikanikuta na ban..kwanza nshazoea!
 
Waaow mwaka mpya wakakuvurugia,acha kabisa kuna kipindi nilikula ban ya wiki kurudi tu ndani masaa machache nikapata nyingine ya wiki[emoji23][emoji23]
Ww unakulaga ban?? DuhπŸ˜…πŸ˜…! Mie mwaka mpya tu ikanikuta na ban..kwanza nshazoea!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…