Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Waaow mwaka mpya wakakuvurugia,acha kabisa kuna kipindi nilikula ban ya wiki kurudi tu ndani masaa machache nikapata nyingine ya wiki[emoji23][emoji23]
Hahahaa!! Mtani ujue nacheka tu hapa. Lol.
Hivi we ndio ulisema unajisikia hovyo au sikuelewa? π mana niliona tu eti Hovyooo!!!. πππ
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.
Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,
kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.
Iko kwenye jukwaa sahihi lakini.πwe huoni kama hii thread ni ya hovyoo!?!
ni kweli ndo mana nko hapa napiga soga, mana nikiingia kila jukwa ni corona coronaIko kwenye jukwaa sahihi lakini.
#Uzeemwishojukwaalasiasa. [emoji2088][emoji2088][emoji2088]
π€£π€£π€£
Ww nakuonaga uko active kule celebrity..dah mie siasa! Nimeamua kuachana na ujinga!
Hahahaa!! Hatari.ni kweli ndo mana nko hapa napiga soga, mana nikiingia kila jukwa ni corona coronaView attachment 1393990
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu huwa wanalike kila post, hasa pale anapoanzisha uzi halafu watu wakachangia. Utakuta analike tu kwa aliyemjibu vizuri au hata aliyemjibu vibaya yeye anatoa like tu.
Lakini tangu nimeingia humu sikumbuki ni mara ngapi nimeona like za Maxence Melo kwenye nyuzi. Leo nimeona amelike uzi mmoja humu amelike. Kutakana na umuhimu na nafasi yake,
kwa mtazamo wangu aki like post fulani nachukulia kama ni heshima fulani.
Umefanya juu chini hadi umeipa like post no. #71. π π π
Hahahaa!! Hatari.
Piga tu soga Mtani ,mdogo mdogo tutafika mana kule ilipoanzia nasikia ishaisha hivyo na huku pia iko siku itakwisha.
nimeona nisipompa like KUBWA nitakuwa sijaitendea haki post no. #71Umefanya juu chini hadi umeipa like post no. #71. [emoji28][emoji28][emoji28]
melo ni huyo wa kati kati hapoMexese melo ivi ni mtu wa wapi
??
121.
Hakika na ndio maana wengine wanaumwa huku wanajirekodi kutujuza hali zao. π πni kweli inaelekea kuisha, naifananisha na kideri(magonjwa ya mlipuko)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa. Haya bana.nimeona nisipompa like KUBWA nitakuwa sijaitendea haki post no. #71
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli huyo ni Mexese Melo. π
sijawahi kuona ugonjwa wa kutisha mtu anapiga selfii anaturingishia kuwa anaoHakika na ndio maana wengine wanaumwa huku wanajirekodi kutujuza hali zao. [emoji28][emoji28]
Hahahaaa!! Wathomi wetu hao Mtani.sijawahi kuona ugonjwa wa kutisha mtu anapiga selfii anaturingishia kuwa anao
Sent using Jamii Forums mobile app