Mawematatu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 468
- 608
uzi bila picha hainogiBila picha huu uzi ni takataka km takataka nyingine
Umeandika kama umepigwa roba ya mbao[emoji849]Nampenda Sana Bahame.
Nime mfollow Sana maeneo mengi. Ana mwanae nahisi ama anassoma kusini au wanaishi wote somewhere in the south.
Dunia ina balance pale kila Mmoja akabalansisha mambo..kangu mie I live you Sylvia Bahame
Huyo ameteuliwa na mama kuwa mkuu wa wilaya nadhani ni uko Tanga kama sio handeni basi ni lushoto ila ni mkoa wa Tanga huko
Ila iyo I live you mmmmmhhh[emoji848][emoji848][emoji848]
Eeeehh kweli bhana nimechanganya
Asante sanaHongera Sana kwa kumpenda Sylvia Bahame.
Ni fighter sanaUyo mtu mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi NBC sijui sasa hivi yuko wapi
Hapana sio basilaEeeehh kweli bhana nimechanganya
Kwa namba nimpendavyo mie, wee Wacha kabisaHakuna hata kapicha kakusindikizia uzi?
Huyo ameteuliwa na mama kuwa mkuu wa wilaya nadhani ni uko Tanga kama sio handeni basi ni lushoto ila ni mkoa wa Tanga huko
Ila iyo I live you mmmmmhhh[emoji848][emoji848][emoji848]