Unajua alipo huyu Sylvia Bahame?

Huyo ameteuliwa na mama kuwa mkuu wa wilaya nadhani ni uko Tanga kama sio handeni basi ni lushoto ila ni mkoa wa Tanga huko


Ila iyo I live you mmmmmhhh[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Nampenda Sana Bahame.

Nime mfollow Sana maeneo mengi. Ana mwanae nahisi ama anassoma kusini au wanaishi wote somewhere in the south.

Dunia ina balance pale kila Mmoja akabalansisha mambo..kangu mie I live you Sylvia Bahame
Umeandika kama umepigwa roba ya mbao[emoji849]
Relax kwanza edit maneno yako kisha weka picha.
 
Uyo mtu mara ya mwisho alikuwa akifanya kazi NBC sijui sasa hivi yuko wapi
 
Hapana umechanganya


Huyo ameteuliwa na mama kuwa mkuu wa wilaya nadhani ni uko Tanga kama sio handeni basi ni lushoto ila ni mkoa wa Tanga huko


Ila iyo I live you mmmmmhhh[emoji848][emoji848][emoji848]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…