Unajua alipo huyu Sylvia Bahame?

Unajua alipo huyu Sylvia Bahame?

Hivi wakuu kuna huyu miss tanzania wakuitwa Richa adhia yule muhindi alipoteleaga wapi ivi?l
 
Nampenda sana Bahame.

Nime mfollow sana maeneo mengi. Ana mwanae nahisi ama anasoma Kusini au wanaishi wote somewhere in the South.

Dunia ina balance pale kila mmoja akabalansisha mambo...langu mie I love you Sylvia Bahame.



alihitimu UDSM
 
Ni nani huyu[emoji848]
Hahahah na wewe humjui silvia bahame miss tz 2003 binti mmoja mwenye sura upole ma mwanya maridhawa

Nakumbuka alikuwa anasoma udsm sheria kipindi anashiriki hayo mashindano.

Mimi namkubali sana huyu naona sio mshamba ya social media hata picha zake za hivi karibuni kuzipata ni ishu
 
Nampenda sana Bahame.

Nime mfollow sana maeneo mengi. Ana mwanae nahisi ama anasoma Kusini au wanaishi wote somewhere in the South.

Dunia ina balance pale kila mmoja akabalansisha mambo...langu mie I love you Sylvia Bahame.



Huyu ni true definition ya mtoto wa Kishua yaani Born and Raised to a certain standards so huwezi kumkuta anajimix na "waswahili" nakumbuka hata tulipokuwa nae UDSM alikuwa mtu poa sana na hana mambo ya Kiswahili
 
Kweli kabisa


Nimetoka kuona majibizano yamejaa matusi mazito ya nguoni na viungo vya binadamu.

Yaani baba na mama wa mtu wametukanwa kisawasawa.


Hii sio JF ile iliyojaa staha!!!
Kwa aina ya uandishi wa wengi humu unaona kabisa Kuna tofauti ya JF ya 2006 na JF ya sasa.

Angalia mada za kipindi kile na angalia majadiliano ya kipindi kile yalikuwa ya staha sana hakukuwa na kutukanana kwa hovyo mtu alijadili kwa hoja na evidence Ila Sasa hivi mtu anaibuka na matusi juu mpaka unaona heri unyamaze tu.

Angalia iD nyingi za zamani wamekaa kimya siku hizi hawachangii, sio kwamba hawana Cha kichangia Ila mtu anaona hata akiandika Cha maana wataibuka vijana na matusi tu.

Mwishowe unaamua kusoma na kupita unaona kabisa asilimia kubwa ni wajinga kabisa watupu hawajui kusoma na kuchambua mada na kuzijibu kwa ustadi Yani mtu akizidiwa hoja anaanza kutukana Wala sio kukubaliana au kumaliza tu ubishani kwa amani na staha.

Malezi yamekuwa shida ukiangalia namna ambavyo watu wanaargue humu .
 
Amekulia Uingereza, baba ni daktari wa Jeshi based in Saudia Arabia anaishi poa tu mama aliachana na mzee akajirudia bongo, mzee ana maisha yake Ila anawatunza fresh kuanzia monthly allowance yeye na mdogo wake, shida nini [emoji1745]
Ndo maana kumbe n mtoto wa kishua huyu uwiiiiih.
 
Amekulia Uingereza, baba ni daktari wa Jeshi based in Saudia Arabia anaishi poa tu mama aliachana na mzee akajirudia bongo, mzee ana maisha yake Ila anawatunza fresh kuanzia monthly allowance yeye na mdogo wake, shida nini [emoji1745]
Kuna kipindi cha miaka ya 2008 nlikua namkuta mitaa ya shoperz anaendesha nissan hardbody
 
Kweli kabisa


Nimetoka kuona majibizano yamejaa matusi mazito ya nguoni na viungo vya binadamu.

Yaani baba na mama wa mtu wametukanwa kisawasawa.


Hii sio JF ile iliyojaa staha!!!
Ajabu na moderators wanashangaa shangaa tu.
 
Back
Top Bottom