Unajua alipo huyu Sylvia Bahame?

Unajua alipo huyu Sylvia Bahame?

hahaaa vumilia tu mkuu
Ah ndio hivyo nao watakutana nayo haya uzuri wake karma is a bitch. Kama haufi mapema basi uzee utajikuta na vijana watajiona wao wajanja kushinda wewe na watakutikana tu maana vijana wa sasa nidhamu ni zero.
 
Ah ndio hivyo nao watakutana nayo haya uzuri wake karma is a bitch. Kama haufi mapema basi uzee utajikuta na vijana watajiona wao wajanja kushinda wewe na watakutikana tu maana vijana wa sasa nidhamu ni zero.
lakini ni kama mzunguko tu, ukiwa kijana unaona wazee wanazingua na wewe ukifika uzee ni haki kuzinguliwa tu maana mwisho wa siku ujana kila mtu anaupenda. Ila kwenye kutokuwa na nidhamu ni tatizo la ubovu wa malezi tu
 
lakini ni kama mzunguko tu, ukiwa kijana unaona wazee wanazingua na wewe ukifika uzee ni haki kuzinguliwa tu maana mwisho wa siku ujana kila mtu anaupenda. Ila kwenye kutokuwa na nidhamu ni tatizo la ubovu wa malezi tu
Kwa aina ya uandishi wa wengi humu unaona kabisa Kuna tofauti ya JF ya 2006 na JF ya sasa.

Angalia mada za kipindi kile na angalia majadiliano ya kipindi kile yalikuwa ya staha sana hakukuwa na kutukanana kwa hovyo mtu alijadili kwa hoja na evidence Ila Sasa hivi mtu anaibuka na matusi juu mpaka unaona heri unyamaze tu.

Angalia iD nyingi za zamani wamekaa kimya siku hizi hawachangii, sio kwamba hawana Cha kichangia Ila mtu anaona hata akiandika Cha maana wataibuka vijana na matusi tu.

Mwishowe unaamua kusoma na kupita unaona kabisa asilimia kubwa ni wajinga kabisa watupu hawajui kusoma na kuchambua mada na kuzijibu kwa ustadi Yani mtu akizidiwa hoja anaanza kutukana Wala sio kukubaliana au kumaliza tu ubishani kwa amani na staha.

Malezi yamekuwa shida ukiangalia namna ambavyo watu wanaargue humu .
 
Kwa aina ya uandishi wa wengi humu unaona kabisa Kuna tofauti ya JF ya 2006 na JF ya sasa.

Angalia mada za kipindi kile na angalia majadiliano ya kipindi kile yalikuwa ya staha sana hakukuwa na kutukanana kwa hovyo mtu alijadili kwa hoja na evidence Ila Sasa hivi mtu anaibuka na matusi juu mpaka unaona heri unyamaze tu.

Angalia iD nyingi za zamani wamekaa kimya siku hizi hawachangii, sio kwamba hawana Cha kichangia Ila mtu anaona hata akiandika Cha maana wataibuka vijana na matusi tu.

Mwishowe unaamua kusoma na kupita unaona kabisa asilimia kubwa ni wajinga kabisa watupu hawajui kusoma na kuchambua mada na kuzijibu kwa ustadi Yani mtu akizidiwa hoja anaanza kutukana Wala sio kukubaliana au kumaliza tu ubishani kwa amani na staha.

Malezi yamekuwa shida ukiangalia namna ambavyo watu wanaargue humu .
hiyo ni kweli mkuu, siku hizi hata nje ya Jf kumekuwa na ujuaji ambao hauna msingi wowote. Watu wanajadiliana kwa maneno ya kusikia na wanachokiamini zaidi hata ya proof

Hata mimi hiyo 2003 nilikuwa primary lakini si mwepesi wa kumkashifu au kumtukana mtu, Si kwa sababu siwezi ila huwa naiona kama dalili ya udhaifu wa kihisia na kiakili
 
Back
Top Bottom