Unajua kwa mwanamke nywele za sehemu za siri na kwa mwanaume ndevu zina kazi yake kunako?

Unajua kwa mwanamke nywele za sehemu za siri na kwa mwanaume ndevu zina kazi yake kunako?

Mimi nanyoaga kiduku..... Mbebe hua namnyoa za brush
Ukitaka lisikuchome Kuna mafuta ya kupaka zinameremeta.
 
Unakutana na K ina vuzi ngumu zimekomaa steelwire ikasome u boo utatokwa na malengelenge km umepishwa kwenye Meno ya Candida
 
Vuzi wastani huepusha hata michubuo isiyo na lazima na kuepushiana magonjwa tofaut na pakiwa peupe pe ni kwepes kuchubuka
Vuzi liwe juu sio kwenye mashavu ni mwendo wa msuguano tu ukitoka hapo m boo yote inauma dadadek starehe au mateso
 
Je wajua kuwa nywele za chini na ndevu ni urembo wa kimahaba?

Mwenyezi Mungu alituumba na kutuwekea hivyo akiwa na maana kabisa ila sasa binadamu wa leo wamestaarabika kiasi waonaona ndevu au mavuzi ni uchafu tena uchafu sana. Mwanaume akiwa na ndevu anaonekana mchafu sana, au ikiwa ni mwanamke wa mwanaume na uvuzi mwingi basi mchafu. Nitakupa mifano michache kwa wanyama.

Hivi wajua kule porini kama ni simba dume na halina manyoya za kutosha simba jike hasisimki na hivyo hali mzigo?

Hivi wajua hata ndege pori dume huwa na manyoya ya kutosha na ile humpendezesha kushawishi majike?

Hivi wajua hata samaki (kama unafuga samaki hata wale wa urembo) dume lazima liwe na matezi mengi mengi?

Hivi wajua hata mbwa wetu hawa akiwa siku za kupata mimba yakaja madume mengi atachagua lile lenye manyoya mengi?

Kwa mifano hiyo utakuwa umenisoma kiduchu.

Mwanamke kikawaida hana ndevu ila vuzi lipo. Linatakiwa lipendeze ila siyo kusafisha kiwanja kinakuwa cheupe, basi tukupe dawa zisiote tena maana huzitaki na hujui kazi yake.

Mwanamke uwe wazinyoa kwaa style ile ya kupunguza tu na ndio maana mwezi wako anatakiwa kukusaidia. Au kama kuna salon za kunyoa huko, basi siyo waxing bali kuzipunguza kifashion.

Kwanza ukiwa unapunguza tu hautakaa upate taizo la in-grow hair na kufanya pussy iwe na vipele balaa duniani. Vipele vinafanya pussy inakuwaa na vidoti vyeusi.

Mwanaume anatakiwa kuwa na ndevu ile ziwe ninakwatwa kwa vizuri ili kupendezesha, asiache kama Alshabab na hata kule chini anatakiwa kupungusa kwa sehemu za kende ndio amalize ile juu ya dyudyu; ndio anaacha kiasi, tena ikibidi kwa style mahususi aipendayo malkia wake.

Ndevu, kidogo zatumika kukuna mgongo wa mwanamke. Imagine akiwa anakupumulia kwa nyuma halafu anakukuna na kidevu sehemu za shingo, hahahha bye!

View attachment 2511746
Mbona umeweka picha ya ndevu tu Ile ingine🤔
 
Back
Top Bottom