404 Pages
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,703
- 2,963
Daaaah mkuu kwamba huyu 50 cent ni copy
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaah mkuu kwamba huyu 50 cent ni copy
HIT 'EM UP 👉🏿⚰️Don't one of you niggas got sickle-cell or somethin'?
nadhani sasa kuna haja ya uzi, tukiwaachia muendelee kupotosha uma namna hiii watu wanaweza amini kuwa msemacho ni kweli wakati sivyo.
Em alimcopy pac na hujazungumzia ni Nyimbo ipi, ila umesema sijui rap cartoon hivi rap cartoon vile.......
em wa 2012 kushuka chini?
huyo ndio Em mwenye the eminem show, relapse, na album kali nyingine ambazo sidhani kama ni katuni kwako.
pac alikuwa yupo concious ndio, more kama mwanaharakati kuliko msanii.
ukiskiliza album ya kwanza 2paclypse hadi ya mwisho akiwa hai the don killuminant, utachoka ladha ni ile ile style ya uimbaji ni ile ile.
nowhere near Nas, Em, BIg hao wamemuacha kilometer nyingi kwangu kama mpezi na mnazi wa hiphop.
lifestyle yake ndio imempa umaarufu, nna uhakika kuna watu wanajua kuhusu kifo chake ila hawajui chochotee kuhusu nyimbo zake nna hawataki kujua labda.
Hakukua na haja ya kuniita mjinga, ningeweza kukupuuza ila ngoja nikujibu kwa kukuonea huruma.We ni mjinga yan nataman nkupigie hata makofi, kwenye hiphop kuna vitu vinaitwa hiphop era's unamzungumzia Em mzungu alieanza na rap cartoon kwenye era za pass the mike!!? Hao kwanza walikua madogo na waoga wa maisha, kipindi cha eminen ndo kipindi chakina SUPERNATURAL,MASDEF,JAYZ na madogo wengine baada ya mayor GULIAN kuingia madarakan akakataa viringe kwenye parks za east ndo wakanza kurap kwenye clabs kimaficho ndo huko wakatokea kina Emnem na Jayz,Fat joe na wengine wengi including Nas kwanza eminem hakua anandika alikua freestyler kama alivoanza BIG pia japo sio kweny iyo era nenda kachek RAP OLYMPICS dogo alikua hana jina bado anarap kwenye viringe ikiwa 2pac keshadanja tiyari sasa basi unachotakiwa kujua kua mziki wa hiphop ulianzia mbari watu wakumuweka na Pac ni akina ICE CUBE,SNOOPDOG na wengine na kumbuka kipindi kile era yao walikua wanafanya "GANGSTER RAP" ilikua ukianza sijui kurap kama kina nelly unaonekana boya maana iyo iliisha baada ya kufa BIG wakina JAYZ na DIDY ndo wakanza kuandika rymes nyepesi yani wanarap na madancers wanacheza na kuvaa visuti vya rangi rangi kwenye video ila JAYZ badae akaona arud kwenye misingi ya hiphop aliona huko sio akamwachia pdidy na wengine em kaangalie JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala CUMPTION ya east walowadis kina dre kipind icho alafu sikiliza styles zao za rap alafu uje uwaweke na watoto et kina nas sijui big watafuck!!!
sijui kwanini huelewi kua Pac hatakiw kifaninishwa na ndo maana hata hao unaotaka kumfanisha nao wanamuheshim sana Pac kama idol wao.View attachment 2401988
View attachment 2401989
Hakukua na haja ya kuniita mjinga, ningeweza kukupuuza ila ngoja nikujibu kwa kukuonea huruma.
em hajatoka east wala west Katoka detroit, so habari za kusema em katoka east na kina jigga zife.
kutokea katika era tofauti hakusababishi uwe juu, skills zinabaki pale pale.
naona umeongea habari za era na vipindi sitaki tutumie mda kwenye validity ya ulichokiongea ila niambie ni kwa namna gani ulichoongea kina badilisha nilichoongea.
2 pac anaonekana ni mkali zaidi kwa sababu alitangulia kupigwa risasi kabla ya big. So yeyote aliyetangulia kupigwa risasi katicya hao lazima angekuwa ni maarufu tu.
kwahiyo Nas alikuwa anajitafuta 1997 ? kwa Em yes kwa Escobar hapanaWe shida yako ni moja unamfananisha Bob Marley na Afandesele kisa itikad ni moja unasahau mziki wao ulikua tofauti, kule juu wale watu wote ulomlinganisha nao Pac walikua wapo kwenye era moja na ndo maana huimbaji wao ulikua tofauti sana na pac na huwezi kukwepa ilo pia sijasema Em katoka est wala west nimesema kipindi chake ndo kilikua na freestyler wengi na yeye akiwemo na nnaongelea ivo sababu kipind icho em walikua wanafanya rap battle tour sehem tofaut tofaut na akina Bizzare naeneo lililokua na peak yawatu wabattle ni NY uko ndo wakafungiwa wakanza kubattle kweny clabs na kufanya RAP OLYMPICS miaka ya 97 hao wote miaka iyo walikua bado wanajitafuta wakat tupac miaka iyo ye keshamaliza era yake na mziki wake ndo maana huwez kuwakuta hao wazee kina ice cube wana beef na hao watoto sababu ni era tofauti kos mziki unachange kipindi na kipindi.
Sijakataa kua hao unaowasema wako vizuri ila ni kwa era yao nisawa saivi uanze kumlinganisha em na kendrik alafu useme humuelew Em!! Au umchukue meek mill umlinganishe na akina traviss alafu useme humuelewi mill!! Wote ni wazuri ni aliyetangulia apewe heshima zake kwakuchonga njia na ndo wakina nass wanachokifanya kwa Pac alafu we unakuja kuwalinganisha alafu unasema yule sio uyu ndie!!
Muongeze na LL Cool JYa mkuu, hatujapishana sana.
Big anafoka Sana tupak anarap mistari yenyeweBIG alikuwa bora zaidi ya tupac
1) Kuna haja ya wamiliki wa JF kuomba vyetu halisi vya kuzaliwa pindi mtu anapojisajili hapa JF. Nasema hivi kwa sababu nimegundua kwamba mara nyingi watu wazima na wajuzi wa mambo tunapoamua kuanzia thread kama hizi, hujikuta tunakutana na vijana wadogo ambao hawajui chochote kuhusu kile kinachojadiliwa na watu wazima, badala yake vijana hao hutanguliza mahaba yasiokuwa na fact yoyote just because alisikia tu kutoka kwa mtu fulan kuwa fulan ni zaidi basi na yeye analishika vile vile bila kulifanyia utafiti wa kutosha wala angalau kusogelea watu wenye ujuzi na swala husika wampe somo kuhusiana na kile alichoaminishwa (danganywa)nadhani sasa kuna haja ya uzi, tukiwaachia muendelee kupotosha uma namna hiii watu wanaweza amini kuwa msemacho ni kweli wakati sivyo.
Em alimcopy pac na hujazungumzia ni Nyimbo ipi, ila umesema sijui rap cartoon hivi rap cartoon vile.......
em wa 2012 kushuka chini?
huyo ndio Em mwenye the eminem show, relapse, na album kali nyingine ambazo sidhani kama ni katuni kwako.
pac alikuwa yupo concious ndio, more kama mwanaharakati kuliko msanii.
ukiskiliza album ya kwanza 2paclypse hadi ya mwisho akiwa hai the don killuminant, utachoka ladha ni ile ile style ya uimbaji ni ile ile.
nowhere near Nas, Em, BIg hao wamemuacha kilometer nyingi kwangu kama mpezi na mnazi wa hiphop.
lifestyle yake ndio imempa umaarufu, nna uhakika kuna watu wanajua kuhusu kifo chake ila hawajui chochotee kuhusu nyimbo zake nna hawataki kujua labda.
be my guest mkuu.....1) Kuna haja ya wamiliki wa JF kuomba vyetu halisi vya kuzaliwa pindi mtu anapojisajili hapa JF. Nasema hivi kwa sababu nimegundua kwamba mara nyingi watu wazima na wajuzi wa mambo tunapoamua kuanzia thread kama hizi, hujikuta tunakutana na vijana wadogo ambao hawajui chochote kuhusu kile kinachojadiliwa na watu wazima, badala yake vijana hao hutanguliza mahaba yasiokuwa na fact yoyote just because alisikia tu kutoka kwa mtu fulan kuwa fulan ni zaidi basi na yeye analishika vile vile bila kulifanyia utafiti wa kutosha wala angalau kusogelea watu wenye ujuzi na swala husika wampe somo kuhusiana na kile alichoaminishwa (danganywa)
2) Kuna haja ya kuwa mtu unaona location ya mtu ambae unabishana nae ili kujiridhisha kuwa kweli nabishana na mtu wa mjini na mwenye uelewa wa kile nnachobishana nae au nabishana na mtu wa mikoani ndani ndani huko ambako hawakuwahi kusikia chochote kuhusu kile mnachobishania, ila kijana anaamua tu kubisha kwa ku target majina yalioandikwa humu ili na yeye aonekane kuwa ana ufahamu mkubwa wa kile kinachozungumzwa kweny thread, na huku kumbe ki uhalisia hakuna anaemjua hata mmoja iwe kwa kumuona live au kumsikia kwenye radio.
Sikufichi mkuu kwa jinsi nimesome comment yako hapa nimejiridhisha bila shaka yoyote kwamb wewe hauna unalojua kuhusiana na mziki wa Hip Hop. Iwe kwa zaman au kwa sasa, hata hawa wasanii uliowataja wengi ume target tu majina yao hapa kupitia post za watu na wewe ukaamua kujifanya unawafahamu na kuwakubali, ila ki uhalisia kabisa hauwajui kwa kuwaona wala kuwasikia.
Anyway kwa vile hauna unachojua ngoja basi nikuoneshe kuwa 2pac alikuwa level ambayo kila mwana Hip Hop huko Marekani hakuweza kufanya mziki wake na akaweza kujulikana au kuheshimika bila kumzungumzia mfalme huyo. Ni kama leo duniani ni vigumu kuuzungumzia mziki wa reggae bila kumtanguliza mfalme wa mziki huo hayati Bob Marley.
Nakuwekea video hapo uangalie mwenyew jinsi Em na 50 wake walivyoonesha heshima kubwa kwa Pac. Huu ni mfano wa mtu una mke lkn mkeo kila anapokaa lazima amtaje mwanaume aliemtoa bikra, namaanisha kuwa wasanii ni wengi waliokufa na waliopo hai lkn hakuna msanii alietajwa au alietajwa tajwa na kupewa heshima kubwa na wasanii wakubwa kama 2pac. Kama unawafahamu watatu tu naomba uniwekee ushahidi kama niliouweka mimi kwenye post na comments zangu.
Kabla ya yote ngoja nikupe nyimbo ambazo zilikuwa zinagusa mfumo mzima wa maisha ya binadamu huko America na duniani kwa ujumla.
1) Dear mama 👈 Hii ni nyimbo ambayo imekuwa ikipigwa kila mwaka (Mother's day) na station zote duniani. Nyimbo hii ilianza kupigwa toka siku ya kwanza ilipoingia studio na imekuwa ikipigwa pigwa kila mwaka, hadi kupelekea watu wengine duniani waone umuhimu wa kuwapongeza na wao mama zao/ zetu kupitia nyimbo. Tumeona kina Christian Bella, Mr Nice, Banana Zoro, GK na wengine wengi na wao sasa kuwaimbia mama zao. Na sio hao tu bali kuna wasanii wengine mbali mbali duniani na wao wamewatungia wazazi wao nyimbo, ila mwanzilishi wa idea ya kumjali, kumthamini na kumuonesha upendo mama kupitia mziki alikuwa ni 2pac.
2) Change 👈 Miaka ya 90s kwenda chini, 55% ya wamarekani weusi walikuwa bado wananyanyaswa, wanafungwa hovyo, wanateswa na kunyimwa baadhi ya haki zao. Ila 2pac alipotoa wimbo wa change ambao ulihamasisha watu weusi kudai haki zao kwa amani bila kutumia nguvu, vurugu, fujo nk iliwafanya hata wazungu wenyewe wajitathmini na kuona umuhimu wa kuishi pamoja na watu weusi kama ndugu. Leo hii wamarekani wamepata raisi mweusi (Obama) japo mpaka sasa ubaguzi upo kiaina lkn sio sawa na ule wa miaka ya 90 kushuka chini.
3) Baby don't cry 👈 Ni kisa cha kweli kilichotokea huko Marekani ambapo mmarekani tena mweusi alimbaka mmarekani mweusi mwenzake kitu ambacho kiliiumiza jamii ya wamarekani weusi hasa wanawake. Pac akatoa wimbo wa kuwataka wamarekani hasa weusi wawe kitu kimoja wapendane na kuheshimiana kwani kama wao watashindwa kupendana na kuheshimiana itakuwa raisi kwa adui yao (mzungu) kupenyeza chuki zaidi miongoni mwao na kupelekea wao kukosa zaidi haki zao.
4) Life goes on 👈 Hii ilihusu wamarekani weusi waliokuwa wanauwawa na polisi tu mitaani bila sababu yoyote, miaka hiyo ilikuwa ni kawaida kupita strees za New York, LA na kwengineko unakuta maiti ya kijana wa kiafrika akiwa ameuwawa na polisi au makundi ya vijana wa kizungu wenye chuki na weusi. So 2pac alitoa nyimbo hiyo kama kuwaomboleza wale waliotangulia kwa kuuwawa katika mazingira yale lkn pia kuwapa moyo wa ujasiri mablack waliobaki wasivunjike moyo bali waendelee kuwa kitu kimoja, kupenda na kuthaminiana. Pia katika wimbo huu alitabiria kifo chake mwenyew. Kama hauelewi na haujui lolote kuhusu nyimbo hizi. Tafuta mtu mwenye uelewa wa lugha akudadavulie vizuri ili ujue ni kwanini Pac aliheshimika sana na nyimbo zake zilipendwa sana. Afu ukishamaliza naomba na wewe unitajie nyimbo 2 tu za Nas na maana zake au sababu ya kuzitunga kama nilivyojaribu kukufafanulia hapo juu, naomba nyimbo 2 za huyo Em wako na maana zake au sababu ya kuzitunga nk, vilevile ufanye hivyo hivyo kwa kuniandikie nyimbo mbili na sababu ya kuzitunga hizo nyimbo ilikuwa nini kama nilivyotoa sababu za 2pac na kukufafanulia kiaina.
2PAC- Life goes on...
🎶 How many brothers feel victim to the streets?
Rest in Peace young nigga there's heaven for a G
Be a lie if i told you that i never thought of death
My nigga we the last one left, but life goes on...🎶
Nashukur sana mkuu kwa hiki ulichokiandika, kijana anaonekana mengi hayajui kuhusu mziki huu wa Hip Hop.We ni mjinga yan nataman nkupigie hata makofi, kwenye hiphop kuna vitu vinaitwa hiphop era's unamzungumzia Em mzungu alieanza na rap cartoon kwenye era za pass the mike!!? Hao kwanza walikua madogo na waoga wa maisha, kipindi cha eminen ndo kipindi chakina SUPERNATURAL,MASDEF,JAYZ na madogo wengine baada ya mayor GULIAN kuingia madarakan akakataa viringe kwenye parks za east ndo wakanza kurap kwenye clabs kimaficho ndo huko wakatokea kina Emnem na Jayz,Fat joe na wengine wengi including Nas kwanza eminem hakua anandika alikua freestyler kama alivoanza BIG pia japo sio kweny iyo era nenda kachek RAP OLYMPICS dogo alikua hana jina bado anarap kwenye viringe ikiwa 2pac keshadanja tiyari sasa basi unachotakiwa kujua kua mziki wa hiphop ulianzia mbari watu wakumuweka na Pac ni akina ICE CUBE,SNOOPDOG na wengine na kumbuka kipindi kile era yao walikua wanafanya "GANGSTER RAP" ilikua ukianza sijui kurap kama kina nelly unaonekana boya maana iyo iliisha baada ya kufa BIG wakina JAYZ na DIDY ndo wakanza kuandika rymes nyepesi yani wanarap na madancers wanacheza na kuvaa visuti vya rangi rangi kwenye video ila JAYZ badae akaona arud kwenye misingi ya hiphop aliona huko sio akamwachia pdidy na wengine em kaangalie JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala CUMPTION ya east walowadis kina dre kipind icho alafu sikiliza styles zao za rap alafu uje uwaweke na watoto et kina nas sijui big watafuck!!!
sijui kwanini huelewi kua Pac hatakiw kifaninishwa na ndo maana hata hao unaotaka kumfanisha nao wanamuheshim sana Pac kama idol wao.View attachment 2401988
View attachment 2401989
Mkuu pale Marekani kuna marappa wengi waliotangulia kufa au kupigwa risasi kabla ya Pac lkn hakuna mtu anaewajua au anaewafuatilia. Pac alijulikana na kupendwa zaidi kwa sababu ya kile alichoacha ulimwenguni katika tasnia ya mziki. Kama utakuwa na muda naomba upitia hapo juu kidogo post namb #153 nina imani kama kweli wewe ni muelewa basi utaelewa. Maana mpaka video ipo ukifungua utajifunza kitu kwanini Pac ameonekana kuwa bora zaidi ya wengine.2 pac anaonekana ni mkali zaidi kwa sababu alitangulia kupigwa risasi kabla ya big. So yeyote aliyetangulia kupigwa risasi katicya hao lazima angekuwa ni maarufu tu.