We ni mjinga yan nataman nkupigie hata makofi, kwenye hiphop kuna vitu vinaitwa hiphop era's unamzungumzia Em mzungu alieanza na rap cartoon kwenye era za pass the mike!!? Hao kwanza walikua madogo na waoga wa maisha, kipindi cha eminen ndo kipindi chakina SUPERNATURAL,MASDEF,JAYZ na madogo wengine baada ya mayor GULIAN kuingia madarakan akakataa viringe kwenye parks za east ndo wakanza kurap kwenye clabs kimaficho ndo huko wakatokea kina Emnem na Jayz,Fat joe na wengine wengi including Nas kwanza eminem hakua anandika alikua freestyler kama alivoanza BIG pia japo sio kweny iyo era nenda kachek RAP OLYMPICS dogo alikua hana jina bado anarap kwenye viringe ikiwa 2pac keshadanja tiyari sasa basi unachotakiwa kujua kua mziki wa hiphop ulianzia mbari watu wakumuweka na Pac ni akina ICE CUBE,SNOOPDOG na wengine na kumbuka kipindi kile era yao walikua wanafanya "GANGSTER RAP" ilikua ukianza sijui kurap kama kina nelly unaonekana boya maana iyo iliisha baada ya kufa BIG wakina JAYZ na DIDY ndo wakanza kuandika rymes nyepesi yani wanarap na madancers wanacheza na kuvaa visuti vya rangi rangi kwenye video ila JAYZ badae akaona arud kwenye misingi ya hiphop aliona huko sio akamwachia pdidy na wengine em kaangalie
JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala CUMPTION ya east walowadis kina dre kipind icho alafu sikiliza styles zao za rap alafu uje uwaweke na watoto et kina nas sijui big watafuck!!!
sijui kwanini huelewi kua Pac hatakiw kifaninishwa na ndo maana hata hao unaotaka kumfanisha nao wanamuheshim sana Pac kama idol wao.
View attachment 2401988
View attachment 2401989