Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Jamaa mpingaji kama hajakuelewa hapa basi tu huyo ni mbishi wa asili kama watu wa Kigoma.Siku zote mtu hujilinganisha na yule anaemzidi. Kwahiyo kitendo cha Nas kujilinganisha na Pac, hii ni ishara kuwa Nas mwenyew anamkubali na kumheshimu Pac.
West sideeeeeSafi mkuu naweka kambi hapa nakubali sana lifestyle ya tupac sema lugha tu inatupgaga chenga sometimes ila namkubali sana
Daah sasa huku ni kumdhalilisha Biggie, haya maisha tu, wengi hupitia kabla ya kutoka.Enzi hizo Big bado mshamba anaogopa hata camera, Pac anampa Big ujasiri wa kujiamini kwa lolote lile analofanya kama ziongeavyo picha hizi. Ilifika kipindi wameenda kutumia sehem Big anaambiwa na Pac achague kile ambacho angependa kutumia siku ile, big kwa kutojiamini sana akaagiza maji ya kunywa na sigara hapo pichani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Nashukur sana mkuu kwa hiki ulichokiandika, kijana anaonekana mengi hayajui kuhusu mziki huu wa Hip Hop.
Ila nimeshampa somo kweny post ya hapo juu namb #153
Siku Pac alipotoa ngoma ya Hit em up Marekani ilitikisika! HAKUNA WA KULINGANISHWA NA PAC!2 pac anaonekana ni mkali zaidi kwa sababu alitangulia kupigwa risasi kabla ya big. So yeyote aliyetangulia kupigwa risasi katicya hao lazima angekuwa ni maarufu tu.
Umeandika ukweli mtupu mkuu.Daah sasa huku ni kumdhalilisha Biggie, haya maisha tu, wengi hupitia kabla ya kutoka.
Pamoja na yote alofanyiwa na 2PAC ila Biggie nae alikuwa na kipawa chake cha kipekee tofauti na Tupac.
Yaani yule mwalimu wako alokufundisha Hesabu sio kwamba ndo atakuwa mkali wa hesabu kuliko wewe mwanzo mwisho, though ataendelea kuwa kifani bora kwako.
BTW, 2PAC was born a STAR. Kiujumla 2pac alikuwa better than Biggie " sky is the limit"
Hakika hakuna asiejua, hata Big mwenyew alikuwa analijua hili. Lkn alikomaa ili angalau na yey aweze kupata jina kupitia beef lake na Pac.[emoji16][emoji16]alafu nimegundua tunamuelewesha mtu anayejua ukweli sema kaamua kukaza fuvu uzuri hakuna asie jua ukubwa wa Pac kwenye game
Uliloongea ni kweli mtupu. Ile ngoma ilisababisha studio zote za radio zipige ngoma nyingine yoyote zaidi ya ile ya Pac. Big alitaman ardhi ipasuke akajifiche chini ya mchanga.Siku Pac alipotoa ngoma ya Hit em up Marekani ilitikisika! HAKUNA WA KULINGANISHWA NA PAC!
Top 5 halafu unataja watu 12? Dre na Easy E kwenye top 10? Anyway ni listi yako ngoja ninyamaze.Ok mkuu, kwa upande wangu top 5 ni
1) 2Pac Shakur
2) Nas escoba
3) Notorious B.IG
4) Big Punish
5) Easy E
6) Dr Dree
7) Jay z & DMX
8) Snoop
9) 50 Cent
10) Eminem & Lil wayne
Umeandila utumbo mtupu. Eminem katokea Detroit, Michigan, hajatokea New York. Halafu Jay kaanza way back kabla ya Eminem, unawawekaje kundi moja?We ni mjinga yan nataman nkupigie hata makofi, kwenye hiphop kuna vitu vinaitwa hiphop era's unamzungumzia Em mzungu alieanza na rap cartoon kwenye era za pass the mike!!? Hao kwanza walikua madogo na waoga wa maisha, kipindi cha eminen ndo kipindi chakina SUPERNATURAL,MASDEF,JAYZ na madogo wengine baada ya mayor GULIAN kuingia madarakan akakataa viringe kwenye parks za east ndo wakanza kurap kwenye clabs kimaficho ndo huko wakatokea kina Emnem na Jayz,Fat joe na wengine wengi including Nas kwanza eminem hakua anandika alikua freestyler kama alivoanza BIG pia japo sio kweny iyo era nenda kachek RAP OLYMPICS dogo alikua hana jina bado anarap kwenye viringe ikiwa 2pac keshadanja tiyari sasa basi unachotakiwa kujua kua mziki wa hiphop ulianzia mbari watu wakumuweka na Pac ni akina ICE CUBE,SNOOPDOG na wengine na kumbuka kipindi kile era yao walikua wanafanya "GANGSTER RAP" ilikua ukianza sijui kurap kama kina nelly unaonekana boya maana iyo iliisha baada ya kufa BIG wakina JAYZ na DIDY ndo wakanza kuandika rymes nyepesi yani wanarap na madancers wanacheza na kuvaa visuti vya rangi rangi kwenye video ila JAYZ badae akaona arud kwenye misingi ya hiphop aliona huko sio akamwachia pdidy na wengine em kaangalie JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala CUMPTION ya east walowadis kina dre kipind icho alafu sikiliza styles zao za rap alafu uje uwaweke na watoto et kina nas sijui big watafuck!!!
sijui kwanini huelewi kua Pac hatakiw kifaninishwa na ndo maana hata hao unaotaka kumfanisha nao wanamuheshim sana Pac kama idol wao.View attachment 2401988
View attachment 2401989
Kama ishu ni kutangulia then kina KRS 1, LL Cool J, Rakim, Kool G Rap, Big L na Big Daddy Kane wanastahili sifa kuliko Tupac.We shida yako ni moja unamfananisha Bob Marley na Afandesele kisa itikad ni moja unasahau mziki wao ulikua tofauti, kule juu wale watu wote ulomlinganisha nao Pac walikua wapo kwenye era moja na ndo maana huimbaji wao ulikua tofauti sana na pac na huwezi kukwepa ilo pia sijasema Em katoka est wala west nimesema kipindi chake ndo kilikua na freestyler wengi na yeye akiwemo na nnaongelea ivo sababu kipind icho em walikua wanafanya rap battle tour sehem tofaut tofaut na akina Bizzare naeneo lililokua na peak yawatu wabattle ni NY uko ndo wakafungiwa wakanza kubattle kweny clabs na kufanya RAP OLYMPICS miaka ya 97 hao wote miaka iyo walikua bado wanajitafuta wakat tupac miaka iyo ye keshamaliza era yake na mziki wake ndo maana huwez kuwakuta hao wazee kina ice cube wana beef na hao watoto sababu ni era tofauti kos mziki unachange kipindi na kipindi.
Sijakataa kua hao unaowasema wako vizuri ila ni kwa era yao nisawa saivi uanze kumlinganisha em na kendrik alafu useme humuelew Em!! Au umchukue meek mill umlinganishe na akina traviss alafu useme humuelewi mill!! Wote ni wazuri ni aliyetangulia apewe heshima zake kwakuchonga njia na ndo wakina nass wanachokifanya kwa Pac alafu we unakuja kuwalinganisha alafu unasema yule sio uyu ndie!!
watakuwa hawajielewiNas namkubali pia mkuu. Kwangu mimi nampa nafasi ya pili after Pac, japo kuna watoto wadogo watakuja kukwambia kuwa Nas anashindwa hata na Eminem, Wayne nk.
Umeandila utumbo mtupu. Eminem katokea Detroit, Michigan, hajatokea New York. Halafu Jay kaanza way back kabla ya Eminem, unawawekaje kundi moja?
Kama ishu ni kutangulia then kina KRS 1, LL Cool J, Rakim, Kool G Rap, Big L na Big Daddy Kane wanastahili sifa kuliko Tupac.
Pac ataendelea kuwa king wa hip hop. Almost 30 years sasa hana mbadala.Yeap wanaheshima zao wanazo stahili na wanapewa mpaka now na 2pac anaheshima yake anayo stahili na apewe, na hata hao waliomfata wanaheshima yao wanayo stahili kil mmoja hawatakiwi kuvunjiwa heshima zao kila mmoja kwa nafasi yake.
Naona shida ni tupac kung'aa zaid kuliko hao ndo kinachowaumiza, bas pambana kuprove wrong kitu walichoshidwa odds wake wote tangu yupo hai hadi wakaona wamuue but he still shining..
Naomba Eminem usimuingize ktk huu mjadala.Sisi tulioanza kufuatilia mziki wa hip hop toka miaka ya 90s tunamkubali sana huyu mwamba. Ukiona mtu anamkataa au kujaribu kumfananisha na wasanii wabovu kama Lil wayne, Eminem, Ja rule nk jua huyo ameanza kusikiliza na kufuatilia mziki wa rap miaka ya 2000s. Huyu mwamba hata kina Big, Nas, Mr P nk walikuwa wamshamshindwa kumdhibiti katika game la mziki.