Cornwallis
JF-Expert Member
- Oct 30, 2022
- 940
- 853
- Thread starter
- #21
Hapana.Tuanze na Avatar yako, hicho kiumbe ulichoweka ulikikunya?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana.Tuanze na Avatar yako, hicho kiumbe ulichoweka ulikikunya?!
Waweke hoja tu tuzijadili.
Huo ni uamuzi wake yeye Mwenyewe[Muumba] na yeye tu ndo anajua kwanini unaumba hivo.Vipi kuhusu watu wanaozaliwa vipofu macho yao hayawezi kutazama na kutofautisha rangi ?
Je hao wana kosa gani? Ama kwa sababu gani wameumbwa hawajakamilika kama wenzao
Unadhani uwepo wa nyota utapingana vipi na madai yangu hapo juu?Kijana unatikisa mbuyu umejikuta unatikisa makalio yako mwenyewe.
Hata kama huamini achana na hilo DUDE linaloitwa MUNGU. Lipo nje ya uwezo wako kulielewa.
tafuta muda wa peke yako, uyaangalie mazingira yako milima na mabonde, nyota angani, wanyama, samaki, wadudu, ndege, n.k (angalia usiku na muda wa mchana)
Utaanza taratibu kugundua kuwa kumuamini MUNGU inahitaji kuuvua huo ujuaji wako.
tuliza akili kijana!
Kwasababu hojayako ilijielekeza kwa Mungu na mwanadamu so siwezi kuuliza kwa kutumia "nini" ila ukitaka naweza kukuuliza piaKwanini unadhani lazima kuwe na "nani" wa kuweka hizo mechanisms?
Kwanini iwe ni lazima kujua majibu ya ulimwengu na kifo ili kuipinga dhana ya uwepo wa Mungu?Ukisema MUNGU aliumbwa na binadamu njoo na majibu yote yenye utata kuhusu ulimwengu na mauti.
Kama huna majibu yaliyopelekea watu kuamini uwepo wa MUNGU ni kupoteza muda.
NB: Watu wanaamini kuhusu MUNGU sababu binadamu amefeli kujibu ulimwengu ni nn na kifo ni nn na vimetokana na nn.
Huo ni uamuzi wake yeye Mwenyewe[Muumba] na yeye tu ndo anajua kwanini unaumba hivo.
Hivi wewe unajua siku yako ya kufa? Unajua kifo chako kitakuaje?
Hicho kifo nani au nini kilikiweka?
Mimi kutokujua mechanisim hizo zilianzaje kunafanya muanzilishi awe ni mungu?Kwasababu hojayako ilijielekeza kwa Mungu na mwanadamu so siwezi kuuliza kwa kutumia "nini" ila ukitaka naweza kukuuliza pia
Nini kilitengeneza au kiliweka hizo mechanisms?
Jinsi uulizaji wako ulivyo wa kitoto na usio wa kufikirisha napenda kukushauri achana na hili jukwaa halikufai uzi kama huu usio na kichwa wala miguu kapost FB Uko utapata wa kukuunga hoja yakoKwanini awe mgumu kueleweka kwa viumbe wake?
Hataki tumjue?
Sijakuelewa unataka kujenga hoja ipi.Mungu anakuzoom tu unavyojishongondoa humu ngoja zamu yake ifike utajamba upepo sio upepo hewa sio hewa
Hujaonyesha utoto wangu ulipo....Jinsi uulizaji wako ulivyo wa kitoto na usio wa kufikirisha napenda kukushauri achana na hili jukwaa halikufai uzi kama huu usio na kichwa wala miguu kapost FB Uko utapata wa kukuunga hoja yako
Cool down najua aliyekutuma nena umwambie hatudanganyikiSijakuelewa unataka kujenga hoja ipi.
Nimetumwa na nani?Cool down najua aliyekutuma nena umwambie hatudanganyiki
Wewe mwenyewe ullikujaje duniani?ama aliyepo ni dhaifu,mbabaishaji na asiye na uelewa wowote kuhusu ulimwengu, ama dhana nzima ni hadithi ya kutungwa katika fikra za mwanadamu aliyeishi katika zama za ujinga na kukosa access ya taarifa mbalimbali.
Nawasilisha.
IbilisiNimetumwa na nani?
Umewahi kujiuliza ni nguvu ya aina gani inayotumika kumfanya mwanadamu alale au asinzie usiku??Kama ni kweli Mungu kamuumba mwanadamu, je suala la kumpa pumzi ni hiari yake au ni wajibu wake?
Mzee usimsingizie Mungu kwenye vitu hivyo vya mwili wa binadamu ni Evolution tuuUlishawahi kuutafakari muundo wa mwili wako unavofanya kazi?
1. Jiulize jinsi macho yako yanavoweza kutazama na kutofautisha rangi
2. Ulimi wako unawezaje kutofautisha chungu chachu na tamu
3. Mpangilio wa vitu[moyo, mapafu, ini, nk] katika mwili wako nan alivipanga?
4. Mpangilio wa nerve sysytem na jinsi znavofanya kazi nani alitengeneza?
5. Fikiria unakula ugali mwili unatenganisha kinachohitajika na kisicho hitajika kinatolewa kama kinyesi halafu unasema hakuna mungu.
Tafakari kijana