Mwepesi block au kikosi akiyokuwa fit alikuwa jamaa anaitwa dany ambaye sahv ni mteja i hope kaacha Syo pina .......Kwa hiyo pina mchumba tu
Lord eyes kick boxing yupo vizuri sanaNasikia hata Lord Eyez alikuwa noma kwenye karate
Fido anajua kidogo sema ana mguu wa kukuFado huwa anajikuta Gangster Sana Sasa sijui kama ni kweli yeye ni thug
Majembe inaitwa Nako ft VatolokoKalapina hajawahi kumpiga Bou Nako.Ukitaka kijua ukweli wa kilichotokea siku hiyo sikiliza ngoma ya Bou Nako na Fidoo jina nimesahau kidogo
sio kweli huo uongo mkuuUgomvi wake mwingi ulikuwa ni wa Madem tu
Ova
Hahaa anajikuta black AmericanFido anajua kidogo sema ana mguu wa kuku
Fido ana uniga gani yule hamna kitu? Kwanza wote wale sasa hivi wamekuwa mateja yeye na kina Lord Eyes, Afadhali ya Kalapina anafanya harakati za kuwasaidia wasanii wenzie waondokane na ishu za drugs waende sobber house.Hahaa anajikuta black American
Jamaa mshali sana lakini...Hahaa anajikuta black American
Ana demu wake mzungu hivi atakuwa ndo anampa vijisentiJamaa mshali sana lakini...
Anapenda undava balaa, na ana vijisenti.
Fido Alikuwa mwanae Sana na marehemu geez mabovuFido ana uniga gani yule hamna kitu? Kwanza wote wale sasa hivi wamekuwa mateja yeye na kina Lord Eyes, Afadhali ya Kalapina anafanya harakati za kuwasaidia wasanii wenzie waondokane na ishu za drugs waende sobber house.
Sio kweli. Wasanii wengi wa Kikosi wengi sasa hivi wanafanya mishe zao ndani ya nchi na wengine nje ya nchi. Unamfahamu Gwalu? jamaa sasa hivi ameoa ana kazi yake,Mau Kolimba first lady wa Kikosi ana mishe zake anafanya,Kuna jamaa mmoja mrefu nimemsahau jina lake yeye sasa hivi kawa mjeda,kuna jamaa mwingine anaitwa tep y yupo A town anafanya mishe zake. Kalapinna himself sasa hivi anahost kipindi cha HARAKATI na mnaosema kaacha game mnapotosha yupo kwenye game isipokuwa sasa hivi amejikita kwenye issue hii ya drugs kwa sana tu. Msikariri kwamba ukiwa msanii unakuwa unafanya usanii tu kuna fursa zingine pia unaweza kufanya.Duh. Nasikia kuna jamaa alijiingiza kwenye Kundi la kikosi cha mizinga (akiwa ametumwa na kaza maalum) akawafanya baadhi ya member wa Kikosi cha Mizinga waanze kula unga ila Pina alikoswa kidogo tu kutokana na ujanja ujanja wa town. Ila wengi walio wenzake wameathirika na dawa ndio hapo kundi likaanza kuteteleka.
Sina uhakika lakini, hizi taarifa mimi nimepewa na mtu.
Fido mtoto wa kishuaFado huwa anajikuta Gangster Sana Sasa sijui kama ni kweli yeye ni thug
Hashim alijitenga na kikosi walipoanza huo usela mavi wa kupigana na kila mtu.Hahaa!!!! Ila mdachi na Hashim Dogo walikuwa marafiki labda kama walizinguana baadae
yupo vizuri kimtindoNasikia anapiga karate
jamaa walikua wababe sana aiseeHahahahahaha....
Ila Hashim naye ni thug Sana sema tu hapendi ugomviHashim alijitenga na kikosi walipoanza huo usela mavi wa kupigana na kila mtu.