Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Unakumbuka Enzi za Kalapina?

Kwa hiyo pina mchumba tu
Mwepesi block au kikosi akiyokuwa fit alikuwa jamaa anaitwa dany ambaye sahv ni mteja i hope kaacha Syo pina .......
Kikosi pina,chis,Amani,erik baubau etc wote walikuwa wachumbaaaaa wnzi zetu hatujasafiri tunaishi kino shambaaa walijujaga kuanzishaa fujo Mbona walikaaaaa wachumbaa tu walikutanaa n'a sura za usiku watu wamepinda hawaishi kwa maigizooo .........walikutana na wanangu chamsela,poppy,akachube,six Ginger dah kidogo tuwaoeeeeee

Ova
 
Wabongo tunavyojua kuzusha na kuongea uongo hatujambo tu. Katika watu 10 waliocomment ni wawili 2 ndo wanaongea uhalisia ila nane mnajaza neel salt sana
 
Hahaa anajikuta black American
Fido ana uniga gani yule hamna kitu? Kwanza wote wale sasa hivi wamekuwa mateja yeye na kina Lord Eyes, Afadhali ya Kalapina anafanya harakati za kuwasaidia wasanii wenzie waondokane na ishu za drugs waende sobber house.
 
Fido ana uniga gani yule hamna kitu? Kwanza wote wale sasa hivi wamekuwa mateja yeye na kina Lord Eyes, Afadhali ya Kalapina anafanya harakati za kuwasaidia wasanii wenzie waondokane na ishu za drugs waende sobber house.
Fido Alikuwa mwanae Sana na marehemu geez mabovu
 
Nyimbo ya Dira ilikaa namba moja ktk Bamiza kwa mwezi mzima nasema kwa mwezi mzima sikuwai...sijawai na sijui itatokea tena kwa nyimbo ya hipohop ngum kukaa kwa mwezi mzima ktk top radio steshen kama ilivyokuwa kipindi kile
 
Duh. Nasikia kuna jamaa alijiingiza kwenye Kundi la kikosi cha mizinga (akiwa ametumwa na kaza maalum) akawafanya baadhi ya member wa Kikosi cha Mizinga waanze kula unga ila Pina alikoswa kidogo tu kutokana na ujanja ujanja wa town. Ila wengi walio wenzake wameathirika na dawa ndio hapo kundi likaanza kuteteleka.


Sina uhakika lakini, hizi taarifa mimi nimepewa na mtu.
 
Duh. Nasikia kuna jamaa alijiingiza kwenye Kundi la kikosi cha mizinga (akiwa ametumwa na kaza maalum) akawafanya baadhi ya member wa Kikosi cha Mizinga waanze kula unga ila Pina alikoswa kidogo tu kutokana na ujanja ujanja wa town. Ila wengi walio wenzake wameathirika na dawa ndio hapo kundi likaanza kuteteleka.


Sina uhakika lakini, hizi taarifa mimi nimepewa na mtu.
Sio kweli. Wasanii wengi wa Kikosi wengi sasa hivi wanafanya mishe zao ndani ya nchi na wengine nje ya nchi. Unamfahamu Gwalu? jamaa sasa hivi ameoa ana kazi yake,Mau Kolimba first lady wa Kikosi ana mishe zake anafanya,Kuna jamaa mmoja mrefu nimemsahau jina lake yeye sasa hivi kawa mjeda,kuna jamaa mwingine anaitwa tep y yupo A town anafanya mishe zake. Kalapinna himself sasa hivi anahost kipindi cha HARAKATI na mnaosema kaacha game mnapotosha yupo kwenye game isipokuwa sasa hivi amejikita kwenye issue hii ya drugs kwa sana tu. Msikariri kwamba ukiwa msanii unakuwa unafanya usanii tu kuna fursa zingine pia unaweza kufanya.
 
Back
Top Bottom