mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Mwepesi block au kikosi akiyokuwa fit alikuwa jamaa anaitwa dany ambaye sahv ni mteja i hope kaacha Syo pina .......Kwa hiyo pina mchumba tu
Kikosi pina,chis,Amani,erik baubau etc wote walikuwa wachumbaaaaa wnzi zetu hatujasafiri tunaishi kino shambaaa walijujaga kuanzishaa fujo Mbona walikaaaaa wachumbaa tu walikutanaa n'a sura za usiku watu wamepinda hawaishi kwa maigizooo .........walikutana na wanangu chamsela,poppy,akachube,six Ginger dah kidogo tuwaoeeeeee
Ova