Teh hili neno bado sijuagi maana yake[emoji23][emoji23][emoji23]. Mkuu hapo umenigusa hio kauli ya "una gubu sana". Hafu mtu unaambiwa hivyo hata haujui maana ya gubu ni nini.. inabidi kupekua kamusi nk.
Wanawake Akil zao ni ndog mno.Heheheh hujamwambia lakini mzee 😂😂😂! Ila wanawake wana kauli chafu kweli yani...Sasa hapo ni kuwa anataka umpe go ahead wakati kashacheza faulo tayari
Hahahah sasa mtu uache kaz uchat nayeye, next time make sure una date na 25+ mzee! Thats for seriousWanawake Akil zao ni ndog mno.
Mim nilikuw busy na maswal ya Kazi sas anatak muda wote muwasiliane wakat Si rahisi kama anavyohisi.. kila siku kaul hiyo hiyo.. nikaona nimuache kwa Amani.
Umuhim wa mtu huonekana akiwa Hayupo.. sahiv akil itakuw imemkaa sawa
Au sio.Sasa unafikiri ni mwanamke gani atakayekubali kufananishwa na mwanaume wa aina yako
Ndiyo ndiyoAu sio.
Comment zako zinaegama egama huku na hukuKwanini mkuu
Mkuu mtu unapata vp ujasiri wa kuishi kwenye nyumba ya mwanamkee.. hapa ndipo dharau inapoanza.Yeah kabisa. Ukishaona tu mwanamke anakutolea kauli za ajabu ambazo zinaonyesha kuwa hakujali na anakuona kuwa wewe ni for granted, wewe jifanye mnyonge na mnyenyekevu then muingize katika kumi na nane yako kisha una mbadilikia......
Kuna brother, alikuwa amekutana na mwanamke wa sampuli hiyo, jamaa akawa mpole sana. Kumbe ameanza mahusano na rafiki ya huyo dada kwa siri na ameshamwambia shida za rafiki yake.
Unajua kuna ile hali mkeo anakuwa na rafiki yake unakuja mjua umeshaanza na mkeo tayari. Sasa mkeo awe na matabia ya ajabu hadi rafiki yake anajua na ameshaona kuwa wewe ni mtu poa sana sema tu mkeo hajui bahati aliyonayo kuwa na wewe.
Jamaa ameshakaa na mwanamke miaka kadhaa kumbe alikuwa anayapanga maisha na rafiki wa mkewe wakafanya maandalizi mengi sana nje ya mkewe kujua.
Kuna siku mwanamke mke wa jamaa kama kawaida yake akamtolea zile kauli za ondoka kama unaona nakukera na hakuna mwanamke atakuwa na wewe, jamaa akaona isiwe shida akaamua kuondoka tu siku moja kimya kimya akahamia makazi mapya na huyo mwanamke.
Na maisha yakaenda poa tu. Siku ziakenda demu anakuja kujua jamaa ana mtoto na mwenzake na maisha ni safi tu..... Akajiribu wafanyia fujo ila wapi ndio ikawa tamati yake.
Tuna ndugu yetu,ni mwalmu Sec. Ameoa mwalimu pia,ila anafundisha Primary.Mkuu mtu unapata vp ujasiri wa kuishi kwenye nyumba ya mwanamkee.. hapa ndipo dharau inapoanza.
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani. Honestly, napenda kuwa chini. Whats the difference sasa akiwa soft hivyo. Yaan nataka akiongea najisemea hee hapa nikijichanganya nimekwisha. Ndo raha bwana. Mwanaume akipooza sana anaboaMnapenda sana heka heka... mauza uza [emoji23][emoji23][emoji23]...mwanaume ni kuwa headache... pasua kichwa...kivuruge haswaa
Tunawakatakata maini yote[emoji1787][emoji1787]Wanaume naona mmefunguka kwenye thread hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kisaikolojia tuko tofauti, wanaume wako physical, kupiga ndio expression ya aggression sisi wanawake tuko psychological, yani tunauchonga weeeeeeeeeee hahaaaa hadi mwanaume ananywea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yes[emoji1787][emoji1787] napenda kuwa commanded na mtu nayempenda. Sasa uanaume utakua wapi if he is not...Aisee kumbe mpo wengi ....
Nareply kutokana na logic mkuu. Mimi ni muumini nayependa fairness to both sides. Miye mdada bana.Comment zako zinaegama egama huku na huku
Ninadate na 27+ hana tofauti na stori ya jamaa hapo niache kazi nianze chat nae hawajawahi kukua hawa....Hahahah sasa mtu uache kaz uchat nayeye, next time make sure una date na 25+ mzee! Thats for serious
Huyo demu mzigo huyo, mwanamke anayelazimish mchati muda wote maana hana shughuli inayomkeep busy. Sitaki kuongelea na mizinga kiasi gani unapigwa ila ipo kazi.Ninadate na 27+ hana tofauti na stori ya jamaa hapo niache kazi nianze chat nae hawajawahi kukua hawa....
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Mizinga hapigi na mbaya zaidi simu za usiku ikifika saa nne anataka muongee mpaka saa saba usiku hukoHuyo demu mzigo huyo, mwanamke anayelazimish mchati muda wote maana hana shughuli inayomkeep busy. Sitaki kuongelea na mizinga kiasi gani unapigwa ila ipo kazi.
Duh, a 27yrs ol' lady awe na character hizo..Basi atakuwa wa kishua sanaMizinga hapigi na mbaya zaidi simu za usiku ikifika saa nne anataka muongee mpaka saa saba usiku huko
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Ila akiwa hivyo mtasema tena oh limwanaume lina ukoloni sana. Ubabe mwingi sana.[emoji23][emoji23][emoji23] yaani. Honestly, napenda kuwa chini. Whats the difference sasa akiwa soft hivyo. Yaan nataka akiongea najisemea hee hapa nikijichanganya nimekwisha. Ndo raha bwana. Mwanaume akipooza sana anaboa
Walipanga. Mwanamke kiburi tu.....Mkuu mtu unapata vp ujasiri wa kuishi kwenye nyumba ya mwanamkee.. hapa ndipo dharau inapoanza.
Haumpigi ukuni vizuri..... Piga ukuni vizuriMizinga hapigi na mbaya zaidi simu za usiku ikifika saa nne anataka muongee mpaka saa saba usiku huko
Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app