Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Heheheh hujamwambia lakini mzee 😂😂😂! Ila wanawake wana kauli chafu kweli yani...Sasa hapo ni kuwa anataka umpe go ahead wakati kashacheza faulo tayari
Wanawake Akil zao ni ndog mno.

Mim nilikuw busy na maswal ya Kazi sas anatak muda wote muwasiliane wakat Si rahisi kama anavyohisi.. kila siku kaul hiyo hiyo.. nikaona nimuache kwa Amani.

Umuhim wa mtu huonekana akiwa Hayupo.. sahiv akil itakuw imemkaa sawa
 
Wanawake Akil zao ni ndog mno.

Mim nilikuw busy na maswal ya Kazi sas anatak muda wote muwasiliane wakat Si rahisi kama anavyohisi.. kila siku kaul hiyo hiyo.. nikaona nimuache kwa Amani.

Umuhim wa mtu huonekana akiwa Hayupo.. sahiv akil itakuw imemkaa sawa
Hahahah sasa mtu uache kaz uchat nayeye, next time make sure una date na 25+ mzee! Thats for serious
 
Yeah kabisa. Ukishaona tu mwanamke anakutolea kauli za ajabu ambazo zinaonyesha kuwa hakujali na anakuona kuwa wewe ni for granted, wewe jifanye mnyonge na mnyenyekevu then muingize katika kumi na nane yako kisha una mbadilikia......

Kuna brother, alikuwa amekutana na mwanamke wa sampuli hiyo, jamaa akawa mpole sana. Kumbe ameanza mahusano na rafiki ya huyo dada kwa siri na ameshamwambia shida za rafiki yake.

Unajua kuna ile hali mkeo anakuwa na rafiki yake unakuja mjua umeshaanza na mkeo tayari. Sasa mkeo awe na matabia ya ajabu hadi rafiki yake anajua na ameshaona kuwa wewe ni mtu poa sana sema tu mkeo hajui bahati aliyonayo kuwa na wewe.

Jamaa ameshakaa na mwanamke miaka kadhaa kumbe alikuwa anayapanga maisha na rafiki wa mkewe wakafanya maandalizi mengi sana nje ya mkewe kujua.

Kuna siku mwanamke mke wa jamaa kama kawaida yake akamtolea zile kauli za ondoka kama unaona nakukera na hakuna mwanamke atakuwa na wewe, jamaa akaona isiwe shida akaamua kuondoka tu siku moja kimya kimya akahamia makazi mapya na huyo mwanamke.

Na maisha yakaenda poa tu. Siku ziakenda demu anakuja kujua jamaa ana mtoto na mwenzake na maisha ni safi tu..... Akajiribu wafanyia fujo ila wapi ndio ikawa tamati yake.
Mkuu mtu unapata vp ujasiri wa kuishi kwenye nyumba ya mwanamkee.. hapa ndipo dharau inapoanza.
 
Mkuu mtu unapata vp ujasiri wa kuishi kwenye nyumba ya mwanamkee.. hapa ndipo dharau inapoanza.
Tuna ndugu yetu,ni mwalmu Sec. Ameoa mwalimu pia,ila anafundisha Primary.
Huyo dada anaishi nyumba ya kotaz,ikabid amshawishi na jamaa ahamie pale..jamaa kahama aliko panga na kumfuata demu hapo kotaz.

Saiv ndugu yetu anakiona cha moto..! Anapelekwa mpera mpera,.
 
Mnapenda sana heka heka... mauza uza [emoji23][emoji23][emoji23]...mwanaume ni kuwa headache... pasua kichwa...kivuruge haswaa
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani. Honestly, napenda kuwa chini. Whats the difference sasa akiwa soft hivyo. Yaan nataka akiongea najisemea hee hapa nikijichanganya nimekwisha. Ndo raha bwana. Mwanaume akipooza sana anaboa
 
Wanaume naona mmefunguka kwenye thread hii[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], kisaikolojia tuko tofauti, wanaume wako physical, kupiga ndio expression ya aggression sisi wanawake tuko psychological, yani tunauchonga weeeeeeeeeee hahaaaa hadi mwanaume ananywea [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tunawakatakata maini yote[emoji1787][emoji1787]
 
Ninadate na 27+ hana tofauti na stori ya jamaa hapo niache kazi nianze chat nae hawajawahi kukua hawa....

Sent from my itel S31 using JamiiForums mobile app
Huyo demu mzigo huyo, mwanamke anayelazimish mchati muda wote maana hana shughuli inayomkeep busy. Sitaki kuongelea na mizinga kiasi gani unapigwa ila ipo kazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] yaani. Honestly, napenda kuwa chini. Whats the difference sasa akiwa soft hivyo. Yaan nataka akiongea najisemea hee hapa nikijichanganya nimekwisha. Ndo raha bwana. Mwanaume akipooza sana anaboa
Ila akiwa hivyo mtasema tena oh limwanaume lina ukoloni sana. Ubabe mwingi sana.
 
Back
Top Bottom