Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Teh umenikumbusha kitu, kuna makahaba 3 wastaafu nawafahamu wameolewa ndoa kabisa za harusi kali, now wametulia tuliiii
 
[emoji23][emoji23][emoji23] na wanaume wenye uume tu bila akili ndio wengi sikuhizi, na hata hyo zamani hawakuwepo ni vile walizoea kukandamiza wanawake, sasa sikuhizi Nani wakuvumilia ujinga wa mwanaume suruali aisee?
Si ndio hapo sasa! Mi nashangaa sijui na mwanaume wa hovyo anapata wapi ujasiri wa kusema anataka mwanamke mwenye sifa za mke sijui anataka ambebeshe mtoto wa nani huo mzigo na mbaya zaidi hataki kubadilika!
 
We hujiulizi kwanini ndoa siku hizi hazidumu na zinazodumu ziko hai bin taaban?
Simple tu, wanaume wa siku hizi AKILI hakuna kabisa.
... wanawake wa siku hizi Mungu kawapa akili hadi wanaume wameshindwa kuishi nao. Yaani law of proportionality inafanya kazi against men, teh. Kadri mwanaume anavyopungukiwa akili ndio akili za mwanamke zinaongezeka.
 
Teh umenikumbusha kitu, kuna makahaba 3 wastaafu nawafahamu wameolewa ndoa kabisa za harusi kali, now wametulia tuliiii
Tukiongea hayo humu tunaonekana tunapenda kubishana! Lakini ninyi wenyewe wanaume si mnaona miujiza mnayoifanya huko mitaani ilihali humu mitandaoni mnaongea tofauti!
 
Na kama hujui, wanawake hutumia utani kufikisha ujumbe. Kuna siku utajua hujui pale utakapoachana naye kosha uanze kuutafakari utani wenu, lazima utagundua ulidharaulika zamani.
Nimechekaaaa[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1666][emoji1666][emoji1666][emoji1666]
 
Ukiwa na uwezo wa kudunduliza sawa. Ila uwezo wa kiuchumi ukipanda tu, utasikia analalamika unamnyanyasa
 
You make the rules when you make the money and not otherwise! Kama hausimamii majukumu yako you make the rules for what and for who au mnadhani mwanaume kuwa na uume tu ndiyo tayari umeumbwa kuwa kiongozi na kichwa cha familia?
In my opinion unaongea perfect sense.

Japo practically ni ngumu kwasababu ya ego zetu wanaume ila thats how it should be.

Mwanaume ukicompromise kwenye funding usaidiwe then chill and give the woman a break. Let her manage the household ila usimpush.

Mwanaume ukitaka tight control over every thing the woman does, kwamba I want this done / ready by this time, pay for the fvcking privilege.

Either give your wife a break from financial responsibilities or domestic ones.

Personally I wish to give my wife a break from financial responsibilities ili awe exclusively kwa matumizi yangu binafsi.
 
Wote tu hukera Sana, Mimi akinisiliba na mtoto na mwambie akazae huko asinichoshe Mimi ukute hata yeye Hana mayai vilevile
Mwanaume hawezi kuwa na mayai bibie, Labda ulitaka kusema hana mbegu hai!?
 
Mwanamke anayekuwekea ultimatum au conditions ili akupe mzigo aisee nikiona hizi dalili ni chap kwa haraka namreplace. Hata kama nimeoa. She needs to be put in her place.

Tupambane kote ila sio kwenye vikojoleo. Kichwa cha chini hakina ubongo wa kujua right & wrong kinajaaga damu tu sasa ukikikorofisha balaa lake hutaliweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…