Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Tafuta mme atakaekufaa kuishi nae ukiwa unafanya kazi.

Simple.
 
Huyo mwenzetu yeye yupo kivita zaidi na sio kiupendo. Anaamini zaidi katika kushindana na mwanaume kuliko kunogesha upendo...kwamba wanaume ni wabaya tu kwake hamna mwanaume mzuri sielewi kwanini huyu best yangu ni mchungu sana na wanaume.
Wengi wa hivyo wameshatendwa wanataka wanawake wema wapitie kwenye blueprints zao walizopita wao.


Kuna wanawake wenye tabia njema na mbaya. Kama yeye Yuko kwenye kundi la wanawake wenye tabia mbaya asitake kulazimisha au kuchafua na wanawake walio kwenye kundi la wanawake wazuri.


Hawa ndio ukiwakuta kweny kitchen Part wanatoa masomo ya kipumbavu kabisa ili wavunje ndoa za watu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Baki hapo. Usipende kujipa kazi ya ziada ukiwa kama mwanaume. Byee
 
Chiiii..zuz is lord[emoji23]
Imagine[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hajaona kwa wengin woooteee ila kaona kwetu. Anatesekea nini sasa. Watu wengine sijui wapoje. Such toxic people kama hawa ndo wa kuwaepuka. Yaani mambo yanakua yakienda vizuri ila over a sudden vooop anatafuta kosa mpaka alipate. Na wewe kasome uandike. Na ningekua nakijua kifarana, kireno, kituruki ningeandika. Babako hajanilipia ada. Be a man. I.d.i.o.t.
 
Imagine na asubuhi alikula kiporo cha chips tena bila hata kuzipasha[emoji2961][emoji2961] nilijuta hata kumtongoza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Imejini... imejini... just like zat[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hana kitambi cha bia?
 
another toxic answers..
 
Sio mlevi kabisa. Ukimuangalia kwahraka huwezi kuyajua hayo. Fikiria kama siku ya kwanza tu ya mahusiano kaja geto na hizo tabia, mpaka ananitukania tatu bomba zangu, anakagua chumba utadhani chake, ananitumatuma nakuonesha uvivu, hv ningempa mkongojo akanogewa ningeficha wapi sura yangu
 
Ukiwa member mkongwe huku jf attack kama hizo hazikosekanagi. Mtu anaamua akutolee ugumu wa maisha tu ghafla.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Kaona we ndo mnyonge wake labda
 
Hahahahah huyo demu kila nikimvutia picha inakuja af inakataa hivi. Yani mwanamke wa hovyo hovyo kweli kweli
 
Yes exactly! Bora hata wewe umeamua kuchagua moja kati ya hayo mawili kuliko wanaoamua kuchanganya mambo!
 
Kwahio wanaume tuoe wanawake wenye sifa mbaya ili tukose amani ya ndoa ama?
Hatujasema msioe wenye sifa nzuri ila je wanaume mnazo sifa nzuri? Kwahiyo na ninyi mnataka wanawake waolewe na wanaume wenye sifa mbaya ili wakose amani?
 
Shida ya hawa mashindikanaa huwa hawajui kuwa tabia mbovu ndizo humuhukumu mwanamke pasi na yeye kujijua. We ukiona umechezewa jiulize ulikwama wapi its either ulifall kwa abuser ama ulikuwa na odd behaviours.

Ukidate na mwanaume na ukawa mwanamke haswa hata mwanaume anaona aibu kufanya vituko vyake. Atavifanyia kwengine ila si kwako.
 
Hatujasema msioe wenye sifa nzuri ila je wanaume mnazo sifa nzuri? Kwahiyo na ninyi mnataka wanawake waolewe na wanaume wenye sifa mbaya ili wakose amani?
Mwanaume kuwa na sifa mbaya ni labda awe kichaa au mwendawazimu. Ila mpaka anakuaproach na unamkubali sidhani kama anakuwa na tatizo maybe wewe unaemkubalia ndio uwe na matatizo.
 
She has to be ready for that maana ni ngumu kum convince mwanamke wa kileo kwamba aache kazi alee familia. Utaishia kuambiwa kwani baba yangu alinisomesha ili iweje??? Hapo ndipo utajua hujui [emoji23]
Kama shida ni hiyo ninyi wanaume wenye itikadi hizo si muoe wanawake wa vijijini ambao hawajasoma au wameishia primary tu! Tena hao ndiyo wanakuwaga wana hiyo adabu na heshima mnayoitaka!
 
We waache! Akikuachisha kazi awe na uwezo wa kuwahudumia hadi ndugu zako!
 
Kama shida ni hiyo ninyi wanaume wenye itikadi hizo si muoe wanawake wa vijijini ambao hawajasoma au wameishia primary tu! Tena hao ndiyo wanakuwaga wana hiyo adabu na heshima mnayoitaka!
Wapo hata waliosoma na wana hio adabu tena wenye mavyeo makubwa kabisa ila still wana adabu njema tu. Wewe kama unaona mshahara au kazi ndio kigezo cha kujilinganisha na mwanaume nakupa pole on behalf of your husband to beπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…