Unakumbuka kauli gani chafu iliowahi kukukera ukajiengua from a Toxic partner?

Dawa ya narcissist nikumuondolea attention na kumgeuza yeye kituko huwa wanaumia mara mbili zaidi. Mimi huwa hawanipi shida kuwanyoosha wengi huwa nawapatia....

Narcissist mjulie tu nini anapenda umeshamaliza.... Kile kitu mabacho unajua hakuna mtu mwingine ataweza mpa kirahisi.
 
We fala japo director wa james bond kafa ila unafaa kwa hio nafasi. Hii inaitwa mateso bila chuki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ kikubwa amwambie kama anaweza awajoin ila asilete kero otherwise abebe kilicho chake asepe.
 
Unaanza kumburuza yeye sasa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ narcissist anapagawa ukimpora attention tu.
 
Huko unakoenda ni kujiokotea matatizo mkuu [emoji23][emoji23][emoji23] unapooendwa tulia!
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua jinsi alivyo na lile jibu sijamuelewa mpaka leo, Ni muungwana wakutosha yule hafanani na lile jibu
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Unajua jinsi alivyo na lile jibu sijamuelewa mpaka leo, Ni muungwana wakutosha yule hafanani na lile jibu
Hahahah kwamba jitahidi kidogo atakutunuku sio πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
We fala japo director wa james bond kafa ila unafaa kwa hio nafasi. Hii inaitwa mateso bila chuki [emoji23][emoji23][emoji23] kikubwa amwambie kama anaweza awajoin ila asilete kero otherwise abebe kilicho chake asepe.
Hakuna kusepa hapo hadi asubuhi ndio atatoka. Aone kila litalojiri.

Unajua wanawake wa siku hizi tunawachekea sana. Usipokuwa mtata, wanakuchukulia hauna madhara, dawa ni kuwa na vitu wanataka halafu kutokujari hisia wanakupa.

Maana visa vyao ni vya wazi wazi kabisa...... Wanatafutiza matatizo hawajui nini maana ya utulivu katika mahusiano.
 
Mimi niliambiwa "we mwanaume gani bahili hivyo? Leo ni week imekata tokea nimtemee mbali.
Na unakuta hauna hela kweli. Aiseee hii kitu huwa inauma sana. Yaani mtu hajui vyanzo vyako vya mapato vipoje, hajui unaishi vipi mjini, ila anataka akisema naomba 50,000 utoe on the spot, ukiwa hauna basi wewe ni bahiri haumpendi yeye.
 
Tatizo ulikuwa unaishi kwake ulifeli mzee baba,
 
Hahaha wao hawanaga huruma kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ anakupiga matukio ya uchi kabisa!!!
 
Na unakuta hauna hela kweli. Aiseee hii kitu huwa inauma sana. Yaani mtu hajui vyanzo vyako vya mapato vipoje, hajui unaishi vipi mjini, ila anataka akisema naomba 50,000 utoe on the spot, ukiwa hauna basi wewe ni bahiri haumpendi yeye.
Kabisa mkuu. Mtu unamfanyia mambo mengi, unamnunulia vingi mwisho siku moja anakuomba 20,000 unamwambia sina hiyo kwa leo, labda nikupe kwanza nusu yake. Anakuita bahili...
 
Na ukiona mwanamke anakuonyesha ukosefu wa adabu kwa kuongea na wanaume wengine mbele yako bila tahadhari basi jua huyo ameshajiweka kuwa goma la wote na yupo hapo kwaajiri ya open fucking kwa yoyote atae muonyesha interest.
Jamaa yetu anatakiwa kujiongeza mapema dili dilisha hili
 
Na unakuta hauna hela kweli. Aiseee hii kitu huwa inauma sana. Yaani mtu hajui vyanzo vyako vya mapato vipoje, hajui unaishi vipi mjini, ila anataka akisema naomba 50,000 utoe on the spot, ukiwa hauna basi wewe ni bahiri haumpendi yeye.
Hawa viumbe bana, kuna msemo mmoja nilikuwa napenda kuutumia kwa wahuni wangu tukiwa chuo...

"Hommies is over hoes"
au
"Niggaz is over hoes"

Incase tuna ratiba ya pamoja halafu manzi kaingilia ratiba huwa nam cancel tu! Wahuni kwanza mwanamke baadae. Hii ilijenga spirit ya wanaume kuthaminiana zaidi. Demu anapigwa sound ila wahuni lazma ratiba ziendelee.πŸ˜‚
 
Unaanza kumburuza yeye sasa [emoji23][emoji23][emoji23] narcissist anapagawa ukimpora attention tu.
Yeah kabisa. Ukishaona tu mwanamke anakutolea kauli za ajabu ambazo zinaonyesha kuwa hakujali na anakuona kuwa wewe ni for granted, wewe jifanye mnyonge na mnyenyekevu then muingize katika kumi na nane yako kisha una mbadilikia......

Kuna brother, alikuwa amekutana na mwanamke wa sampuli hiyo, jamaa akawa mpole sana. Kumbe ameanza mahusano na rafiki ya huyo dada kwa siri na ameshamwambia shida za rafiki yake.

Unajua kuna ile hali mkeo anakuwa na rafiki yake unakuja mjua umeshaanza na mkeo tayari. Sasa mkeo awe na matabia ya ajabu hadi rafiki yake anajua na ameshaona kuwa wewe ni mtu poa sana sema tu mkeo hajui bahati aliyonayo kuwa na wewe.

Jamaa ameshakaa na mwanamke miaka kadhaa kumbe alikuwa anayapanga maisha na rafiki wa mkewe wakafanya maandalizi mengi sana nje ya mkewe kujua.

Kuna siku mwanamke mke wa jamaa kama kawaida yake akamtolea zile kauli za ondoka kama unaona nakukera na hakuna mwanamke atakuwa na wewe, jamaa akaona isiwe shida akaamua kuondoka tu siku moja kimya kimya akahamia makazi mapya na huyo mwanamke.

Na maisha yakaenda poa tu. Siku ziakenda demu anakuja kujua jamaa ana mtoto na mwenzake na maisha ni safi tu..... Akajiribu wafanyia fujo ila wapi ndio ikawa tamati yake.
 
Mwanamke wa kumsikiliza ni mke wa ndoa tu na ni yule anaekuelewa wewe kama wewe. Hawa waliobakia sio wa kuwapa attention hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…