πππilikuwa ni majadiliano kiasi kuhusu mahusiano na jinsia zote mbili ke/me ghafla mwanamke mmoja akasema namnukuu:
"mwanaume hata umlambe ma**ko hawezi kutulia na mwanamke mmoja'' hii kauli ilinikata maini sana
kuna watu wana maneno machungu hii duniaππππ
Ni kweli mkuu Yani unapewa neno linajirudia kichwani mara miasaba na kusahau huwezi.kuna watu wana maneno machungu hii duniaπ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]You seem to be a good boy...tell you what ? Wanawake hawawapendi good boys...mpelekeshe...siku moja usurudi nyumbani...nenda disco lala sehemu nyoa nywele zote mwilini km yule DJ wa gongo la mboto....atanyooka au piga chini leo leo huyo freak atakutesa
kwakweli ni kama mwaka umepita lakini huwa nakumbuka na kusema tu mungu na watu wake bwanaNi kweli mkuu Yani unapewa neno linajirudia kichwani mara miasaba na kusahau huwezi.
To me its very difficult. I am not an angel. Nakosea and i always apologise. Kitu siwezagi ni kugombana na mtu nayempenda. I always wall away to keep my inner peace. Kugombana na mtu nampenda ni too big tesion for me. And too bad nakutana na hawa narcissists sana. Sijui kwanini. They always play victimsDawa ya narcissist nikumuondolea attention na kumgeuza yeye kituko huwa wanaumia mara mbili zaidi. Mimi huwa hawanipi shida kuwanyoosha wengi huwa nawapatia....
Narcissist mjulie tu nini anapenda umeshamaliza.... Kile kitu mabacho unajua hakuna mtu mwingine ataweza mpa kirahisi.
It works a lot. A lot.... naona raha nikipitia status. At first i saw him pretending hajali. Laters status zimebadilika for some hope themes[emoji23][emoji23][emoji23][emoji111] ila it hurts a lotUnaanza kumburuza yeye sasa [emoji23][emoji23][emoji23] narcissist anapagawa ukimpora attention tu.
[emoji3][emoji3][emoji3] Em mkuu nihadithie kdgo kuhusu huyo dem wa kukaa vijiweni??? Alkua mmama au ....InashangazaWakitanga nilishakua nae alikua na tabia ya kukaa vijueni kunywa kahawa na watu nakupiga stori za simba na Yanga.....
dont let yourself get sucked into the dramaTo me its very difficult. I am not an angel. Nakosea and i always apologise. Kitu siwezagi ni kugombana na mtu nayempenda. I always wall away to keep my inner peace. Kugombana na mtu nampenda ni too big tesion for me. And too bad nakutana na hawa narcissists sana. Sijui kwanini. They always play victims
I am a woman. Mwanamke yeyote uliyeko nae kama hana huruma na wewe hasa pesa achana nae. Hakupendi. Sijui kwanini watu hawanaga huruma"Kama mimi unanipa hichi ki-laki mbili na nusu chako, sasa hao wanawake zako wengine si utawapa zaidi"
I agree. I witnessed[emoji28] lets meet.. sina hela... halaf anaenda kwa slay queen mwisho wa siku sasa.."Mimi siamini kauli ya mwana umme yoyote eti hana pesa isipo kua Baba angu tu ndo nae mwaamini" anapekua walleti yangu kila wakati, nikaona anifae kabisa nikatafuta mbinu za kumpiga chini, baada ya kuchanachana cheti chake cha ndoa ilikumpunguza usumbufu wa talaka
hapo nikujikataa tuu halafu wa hivyo wanajuwa kujirudi badaekwakweli ni kama mwaka umepita lakini huwa nakumbuka na kusema tu mungu na watu wake bwana
We jamaa unaonyesha ni kapole sana,ulivyokua shule primary,sec ushawahi kupigana kweli wewe?Mi mwanamke flani nilimpenda kwa moyo mmoja pamoja na kumpa time yangu.Lakini hakuyaona nimezaa naye mtoto mmoja.Keshanicheat sana
Sure. It was very difficulty aisee. Letting fo kitu kigumu sana. Wanapenda drammar balaqdont let yourself get sucked into the drama
Hii ni hatari mkuu utasababisha mauaji upate kesiDah unaoataje nafasi ya kurevenge halafu unaitumia vibaya hivyo.....
Huyo unamkubalia anarudi kuwa na wewe, then siku moja unatafuta demu pisi kali mdangaji unamuomba aje maskani saa sita za usiku. Mpange kabisa kuwa upo na mwanamke unataka kumpa shida kidogo.
Avae kikorofi ile ya kutamanisha utamu nje. Then wewe siku hiyo mtengenezee mazingira demu wako mlale mapema sana saa tatu au nne hivi.
Akifika unamfungulia, then unampokea na deep sloppy kiss moja ambalo halikatishwi hata na mlipuko wa bomu. Unafunga mlango wa chumbani ufunguo unatoa katika kitasa. Unapanda na yule demu kitandani mnaaza kupeana kazi nzito wazi wazi bila kuogopa.
Yaani yeye muwe kama hamumuoni. Unapiga mashine ile kiugwadu na huyo demu aonyeshe ushirikiano..... Demu wako akitaka kuleta fujo unamtuliza then unaendelea kutoa mgegedo..... Unamwambia hebu tulia wakati najiongeza na huyu anae nipenda..... Tulia mbwa wewe nakwambia....
huu ushauri wa kijiweni huu π π π siyo wa kufuataHii ni hatari mkuu utasababisha mauaji upate kesi
huu ushauri wa kijiweni huu π π π siyo wa kufuata
Kabisa, maana mapenzi ya kweli sio kushikana mashati wala kutoleana machoziSiku akikubadilikia usiache kuleta thread mkuu