nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,924
- 1,334
kuna hadithi moja ilikua inaitwa maji mazito , ilitungwa na Said Salim Bawji, niliifutilia kweli , kulikua na Character mmoja anaitwa Side Spy, Vick n.k
sikuwahi kuimaliza riwaya ile, natamani niirudie kuisoma lakini sijui wapi nitaipata.
WAMASA...................WACHAPISHAJI WA MAGAZETI YA SANI
sikuwahi kuimaliza riwaya ile, natamani niirudie kuisoma lakini sijui wapi nitaipata.
WAMASA...................WACHAPISHAJI WA MAGAZETI YA SANI