Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
2011 hiyoIlikua mwaka gan mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2011 hiyoIlikua mwaka gan mkuu
Siyo Shukuru Kawambwa?2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii 😀 😀
wee ngoma ya ndalichakoo ilikuwaaSiyo Shukuru Kawambwa?
68%=Div Zero, First draft results.. Mama alikua mnoma sana.2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii 😀 😀
Mzee wa masikhara 🤣🤣😂😂.Ulifanya mashikhara mpaka NECTA 🤣😂😂😊😊wee ngoma ya ndalichakoo ilikuwaa
Tengeru boys graduate una B ya mathe 🤣🤣.Mwalimu wa hesabu alituambia calculator haziruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.
Kuja kusoma melekezo, vikokotoo vinaruhusiwa.
Iliniuma sana ningepata A nakuja kupata B.