Unakumbuka nini wakati unafanya mtihani wa Kidato cha Nne

Unakumbuka nini wakati unafanya mtihani wa Kidato cha Nne

Marafiki zangu karibia wote walipiga A.... ila inaweza ikawa ni uzuzu wangu tu sio calculator
We ni kilaza bana unapataje B kwenye shule yenye A hadi za physics sembuse hesabu?.

Ungesoma shule niliyosoma mimi o level ungepata D kabisa huko 🤣🤣.

Kaa na maua(genius) na ww unukie(ufaulu)
 
Sitasahau second masters wetu alipita dirisha la domitory usiku wakati tunajisomea akaturushia kikaratasi kimya kimya. Kucheki kuna maswali mengi ya mtihani wa history wacha tuyasolve usiku mzima tukaacha hadi kusoma sehemu nyingine.

Kesho yake kwenye mtihani tumeingia tuna confidence balaa tunajua kitu chenyewe bwana kilichotukuta ni kipigo cha mbwa koko kama cha Simba kutoka kwa Yanga. Hakuna hata swali moja lililotoka.
Watu mlikuwa na utani na necta duuh ulidhani hiyo ni mock sio?.
 
Nakumbuka ilikuaa paper la math, yani nilivyoona paper nikajua A uwakika si nikashangilia kwa nguvu kabla paper lijanza[emoji28].

Msimamizi akaja kunikagua kama nina chabo, lakini sikuwa na kitu nilikuwa kipanga kweli wa math japo nilisoma shule ya kata.

Na kweli matokeo yakivyotoka me ndio mwanafunzi wa kwanza kata ya chanika kupata A ya math, kutoka shule ya kata.[emoji1487]
 
Those days, mi nasolve maswali yangu kadhaa , rafiki wa karibu akawa amelala huku akisema " hayo hayatoki aisee, tulale tu" mi nikawa nafutilia vizuri sana yale maswali...kesho yeye alianza kupewa paper , naona mtu anageuka kuniangalia kwa huzuni...ile kufungua tu paaaaap, maswali kama yalivyo
 
Those days, mi nasolve maswali yangu kadhaa , rafiki wa karibu akawa amelala huku akisema " hayo hayatoki aisee, tulale tu" mi nikawa nafutilia vizuri sana yale maswali...kesho yeye alianza kupewa paper , naona mtu anageuka kuniangalia kwa huzuni...ile kufungua tu paaaaap, maswali kama yalivyo
Ama kweli akili ni akili tu
 
2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii šŸ˜€ šŸ˜€
Kumbe wewe dogo janja kabisa
 
99 hiyo....naenda kupiga paper ya chemistry kesho yake....nikapiga konyagi nikawa top....asubuhi naingia kwenye mtihani sina habari niko wayuwayu....hangover kama India...Mzee mzima nikagonga nikasepa mchana tulikua sijui na paper ya kiswahili...nikapiga safari mbili...zile za mbuyu...! Ndio nikaenda kwenye paper la kiswahili

Matokeo..Chem C
...Kisw A

Mpaka leo konyagi sijaiacha....japo ladha yake imebadilika..!
 
Nachokumbuka ni yule mwamba kujaza booklet mbili mtihani wa mathematics then matokeo ni f na ndo alikuwa mbabe wa mathematics class yetu.
Mimi ukijumlisha kurasa hazikujaa Tatu Ila nikapiga kagentleman pass
 
.... tuliobeba vyakula kutoka nyumbani na soda ya mirinda(ikiuzwa sh. 100) kwenda navyo kufanya mtihani wa darasa la 7 na tulivyofika shule tuliweka kwenye chumba cha Sayansi Kimu kisha tukafanya mitiani ya masomo yote kwa siku Moja tukala vyakula vyetu na uniform tukachana tufunguliwe uzi wetu.
Jikite kwenye mada
 
Sitasahau second masters wetu alipita dirisha la domitory usiku wakati tunajisomea akaturushia kikaratasi kimya kimya. Kucheki kuna maswali mengi ya mtihani wa history wacha tuyasolve usiku mzima tukaacha hadi kusoma sehemu nyingine.

Kesho yake kwenye mtihani tumeingia tuna confidence balaa tunajua kitu chenyewe bwana kilichotukuta ni kipigo cha mbwa koko kama cha Simba kutoka kwa Yanga. Hakuna hata swali moja lililotoka.
Vilaza kawaida yenu, mkipigwa chenga kidogo tu kwisha habari
 
Back
Top Bottom