Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
We ni kilaza bana unapataje B kwenye shule yenye A hadi za physics sembuse hesabu?.Marafiki zangu karibia wote walipiga A.... ila inaweza ikawa ni uzuzu wangu tu sio calculator
Ungesoma shule niliyosoma mimi o level ungepata D kabisa huko š¤£š¤£.
Kaa na maua(genius) na ww unukie(ufaulu)