Jamal Akbar
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 413
- 471
2011 hiyoIlikua mwaka gan mkuu
Siyo Shukuru Kawambwa?2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii π π
wee ngoma ya ndalichakoo ilikuwaaSiyo Shukuru Kawambwa?
68%=Div Zero, First draft results.. Mama alikua mnoma sana.2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii π π
Mzee wa masikhara π€£π€£ππ.Ulifanya mashikhara mpaka NECTA π€£ππππwee ngoma ya ndalichakoo ilikuwaa
Tengeru boys graduate una B ya mathe π€£π€£.Mwalimu wa hesabu alituambia calculator haziruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.
Kuja kusoma melekezo, vikokotoo vinaruhusiwa.
Iliniuma sana ningepata A nakuja kupata B.