Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
We ni kilaza bana unapataje B kwenye shule yenye A hadi za physics sembuse hesabu?.Marafiki zangu karibia wote walipiga A.... ila inaweza ikawa ni uzuzu wangu tu sio calculator
Watu mlikuwa na utani na necta duuh ulidhani hiyo ni mock sio?.Sitasahau second masters wetu alipita dirisha la domitory usiku wakati tunajisomea akaturushia kikaratasi kimya kimya. Kucheki kuna maswali mengi ya mtihani wa history wacha tuyasolve usiku mzima tukaacha hadi kusoma sehemu nyingine.
Kesho yake kwenye mtihani tumeingia tuna confidence balaa tunajua kitu chenyewe bwana kilichotukuta ni kipigo cha mbwa koko kama cha Simba kutoka kwa Yanga. Hakuna hata swali moja lililotoka.
Ni shidaHhahhahahahahaha, matokeo yalikuwaje mdau?
Acha tuu sitakuja kusahau yaaniWatu mlikuwa na utani na necta duuh ulidhani hiyo ni mock sio?.
Ama kweli akili ni akili tuThose days, mi nasolve maswali yangu kadhaa , rafiki wa karibu akawa amelala huku akisema " hayo hayatoki aisee, tulale tu" mi nikawa nafutilia vizuri sana yale maswali...kesho yeye alianza kupewa paper , naona mtu anageuka kuniangalia kwa huzuni...ile kufungua tu paaaaap, maswali kama yalivyo
Kumbe wewe dogo janja kabisa2012 Nilifanya pepa ya chemistry ya kupima uelewa mpaka nikawa nafurahi huku najibuu...!! matokeo kutoka ndalichakoo akatunyoosha balaaa shikamoo mama ndalii π π
Wewe ulipata ngapi mkuuJf kila mtu alipata one
Iv.29Wewe ulipata ngapi mkuu
Sasa hao wote wanaosema wamefaulu ni kweli kabisa mkuu hata hawadanganyi...Iv.29
Aisee kumbe mtoto wa juziMwalimu wa hesabu alituambia calculator haziruhusiwi kwenye chumba cha mtihani.
Kuja kusoma melekezo, vikokotoo vinaruhusiwa.
Iliniuma sana ningepata A nakuja kupata B.
Jikite kwenye mada.... tuliobeba vyakula kutoka nyumbani na soda ya mirinda(ikiuzwa sh. 100) kwenda navyo kufanya mtihani wa darasa la 7 na tulivyofika shule tuliweka kwenye chumba cha Sayansi Kimu kisha tukafanya mitiani ya masomo yote kwa siku Moja tukala vyakula vyetu na uniform tukachana tufunguliwe uzi wetu.
Vilaza kawaida yenu, mkipigwa chenga kidogo tu kwisha habariSitasahau second masters wetu alipita dirisha la domitory usiku wakati tunajisomea akaturushia kikaratasi kimya kimya. Kucheki kuna maswali mengi ya mtihani wa history wacha tuyasolve usiku mzima tukaacha hadi kusoma sehemu nyingine.
Kesho yake kwenye mtihani tumeingia tuna confidence balaa tunajua kitu chenyewe bwana kilichotukuta ni kipigo cha mbwa koko kama cha Simba kutoka kwa Yanga. Hakuna hata swali moja lililotoka.