Unavoidable Servant
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,728
- 4,545
Hizo za Mwandiga ndio lodge, na mara nyingi lodge ni family business halafu ni majengo ya chini siyo ghorofa.Naelewa zaidi hoteli za nyota nne na tano
Sorry lodge nifafanulie nikiona uswahilini Ujiji kigoma pameandikwa Mwandiga kigoma Lodge ili niellewe
Kabisa, tena hata kiusalama (mali zako au za ofisi) panafaa kabisaBinadamu lazima uset standard zako, nilikuwa nikienda Mwanza La Cairo hotel nachukuwa Presidetial suite ina sitting room kabisa, mtu akija kukutembelea hotelini anaishia sitting room kuna excutive sofa na flat screen 4k, hata kama una kimeo chumbani hawezi kujuwa chochote.
Kwani za elfu 15 ukilala hyoat usingizi??At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa..
Mnatembea na mali (za ofisi au binafsi?)πKabisa, tena hata kiusalama (mali zako au za ofisi) panafaa kabisa
Utapata vizuri tu ila Kuna mambo Kama Utulivu, usalama n.k hayo kuyapata huko mara nyingi sio rahisi japo Kuna zingine zipo poa tu.Kwani za elfu 15 ukilala hyoat usingizi??
Namaanisha vifaa vya kazi mf Camera, Laptop n k na hata mali binafsi kama pesa.Mnatembea na mali (za ofisi au binafsi?)π
Haya sawa.. tutajitahidMaisha ni leo kesho ni bahati na hisani ya Mungu
Ishi leo kesho ibaki kuwa tumaini
Tumia chako leo kesho kuna wapuuzi wataombania ukiwa umelala
Huo sasa mkuu ni wivu! Hivi unajua kuna mashirika mengine yanawalipia hotel watumishi wao?Mtu ni mfanyakazi kama wewe hasa wadada mmepewa per diem za kawaida kabisa rate hizi hizi za night za 130,000 cha ajabu mnafika mkoa unashangaa mdada anaenda kulala lodge ya 80,000 aisee hatupangiani maisha lakini je Kwa maisha gani hayo unakuta nyumbani kaacha hela ndogo tu lazima uangalie na ulipotoka..angalau ingekuwa umepata hela kubwa za miradi ila sio allowance za hizi activities za kila siku.. At least kidogo ukilala ya 40000 me sitashangaa.. Ila nacho fikiria hawa wadada wanakuwa na mitego yao mingine kunasa ma sponsor sio bure..
SAwa sawa.. nimeuliza tu, maana mi huwa nalala kwenye basi mpaka kukuche..nikiamka naogea mabafu ya stand shi 500πUtapata vizuri tu ila Kuna mambo Kama Utulivu, usalama n.k hayo kuyapata huko mara nyingi sio rahisi japo Kuna zingine zipo poa tu.
Standard ya perdiem imewekwa kisheria, mashirika binafsi zinafanana. Sina uzoefu na huko serikalin zimekaaje kaaje. Lakin taasis huru zinawekaga standard yake kwa kuzingatia kigezo cha seniority ya mhusika. Perdiem haiwez kuwa chini ya 150k kwa siku mana ni malazi, mlo, safari za hapa na pale na viburudisho kwa siku moja.Mkuu, Mimi naomba kufahamu kitu,, hivi hizi Perdiem huwa zinafanana kwa taasisi/Mashirika/Halmashauri zote za serikali..?
Pia, zinatofautiana kulingana na ngazi ya elimu au cheo..?
Sawa sawa.Namaanisha vifaa vya kazi mf Camera, Laptop n k na hata mali binafsi kama pesa.
SahihiBinadamu lazima uset standard zako, nilikuwa nikienda Mwanza La Cairo hotel nachukuwa Presidetial suite ina sitting room kabisa, mtu akija kukutembelea hotelini anaishia sitting room kuna excutive sofa na flat screen 4k, hata kama una kimeo chumbani hawezi kujuwa chochote.
sikilizen ushauri huuHela ya perdiem sio ya kununulia tofali mjomba ππ pumzisha mwili huo ufanye kazi kiufanisi, kesho wakutoe tena kazi za nje ulambe perdiem nyingine.
Ila na wewe ni ka ndezi tu! Mbona pale double view hotel 80k unapata room! Au hiyo nayo ni lodge? AR mbona hotel za 80 zipo kibao tu!Labda kama hujui Hotel ni nini. Hakuna hotel utalala kwa hiyo 80 ni vilodge uchwara tu
SahihiWanawake wengi huwa wanapenda vitu vizuri na sehemu za hadhi kuliko wanaume
Jibu ni ndiyo.Mkuu, Mimi naomba kufahamu kitu,, hivi hizi Perdiem huwa zinafanana kwa taasisi/Mashirika/Halmashauri zote za serikali..?
Pia, zinatofautiana kulingana na ngazi ya elimu au cheo..?