Unalijua hili kuhusu Mtoto wa kambo?

Unalijua hili kuhusu Mtoto wa kambo?

Mjanja M1

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2018
Posts
4,058
Reaction score
14,382
Kijana endapo kama utaamua kuoa single mother na ukaamua kubeba majukumu ya ubaba kwa mtoto wake basi tambua kuwa mtoto hatothamini unavyojitoa kwake na kila utakachofanya ataona kuwa unayafanya hayo majukumu kwasababu upo na mama yake na sio kwamba unampenda kweli.

Mtoto wa single mother akifikisha umri wa kujitambua hatojali ulimfanyia mema kiasi gani, yeye atakachojua ni kwamba ulikuwa unafanya kwasababu ya mama yake akupende na awe nawewe tu.


Muda pekee ambao ataamini unampenda ni kipindi ambacho mama yake kaaga dunia na ukaendelea kumuhudumia kama mtoto wako.

ZINGATIA: UPENDO WAKO BABA WA KUFIKIA UTAPIMWA NA MTOTO WA SINGLE MOTHER KIPINDI MAMA YAKE HAYUPO ULIMWENGUNI.
 
HIi yote ni BS msee. Hakunaga mtoto wa kambo wala wa ng'ambo. Nivile utaishi nae tu tokea akiwa mtoii.

Kwanza in the first place mtoii aezi jua ka we sio dingo ake na atakutake ka msee ake. So ata kukua na ngori nae haezi come to that.

Hizo ni presumptions tu.
 
HIi yote ni BS msee. Hakunaga mtoto wa kambo wala wa ng'ambo. Nivile utaishi nae tu tokea akiwa mtoii
Unalijua hili?

Single Mother kama angekuwa hana Mtoto asingekubali kuolewa nawewe.

SINGLE MOTHER ANAOLEWA NAWEWE KWASABABU WEWE NI CHAGUO LA MWISHO NA SIO KWAMBA ANAKUPENDA SANA KULIKO ALIEMZALISHA.

Endelea na ubishi, ukikua utaacha ubishi.
 
Unalijua hili?

Single Mother kama angekuwa hana Mtoto asingekubali kuolewa nawewe.

SINGLE MOTHER ANAOLEWA NAWEWE KWASABABU WEWE NI CHAGUO LA MWISHO NA SIO KWAMBA ANAKUPENDA SANA KULIKO ALIEMZALISHA.

Endelea na ubishi, ukikua utaacha ubishi.
Hujabonga hata kitu ina make sense. Kunae ambao ni single momas na wameolewa na watu wako awana dough.

So live life msee.
 
Condition ni mbili tu za kuzingatia kabla hujaoa Single Mother:

1. Umeshuhudia kifo cha mtu wake wa kwanza.
2. Umeonyeshwa Kaburi lake.

Kuishi na single mother na mtu wake yupo inaletaga shida sana haswa pale Mitoto yake inapotenda makosa na kutakiwa kupewa adhabu.
 
Kijana endapo kama utaamua kuoa single mother na ukaamua kubeba majukumu ya ubaba kwa mtoto wake basi tambua kuwa mtoto hatothamini unavyojitoa kwake na kila utakachofanya ataona kuwa unayafanya hayo majukumu kwasababu upo na mama yake na sio kwamba unampenda kweli.

Mtoto wa single mother akifikisha umri wa kujitambua hatojali ulimfanyia mema kiasi gani, yeye atakachojua ni kwamba ulikuwa unafanya kwasababu ya mama yake akupende na awe nawewe tu.


Muda pekee ambao ataamini unampenda ni kipindi ambacho mama yake kaaga dunia na ukaendelea kumuhudumia kama mtoto wako.

ZINGATIA: UPENDO WAKO BABA WA KUFIKIA UTAPIMWA NA MTOTO WA SINGLE MOTHER KIPINDI MAMA YAKE HAYUPO ULIMWENGUNI.
Sio kweli.

napenda kukuambia ukimpenda kweli hakuna kitakachojificha.
Upendo una nguvu kuliko mauti.
 
Vaa uhusika wa Mtoto utanielewa.

NAOMBA USOME TENA HILI BANDIKO LILILOSHEHENI FACTS ZA HALI YA JUU UTANIELEWA.
Hakuna fact mdau hapo.
Upendo haujifichi kabisa.
Ukimpenda mtu for no reason ndio Upendo.

Hata kama atakuwa na perception yatofauti kiasi gani.
Kuna watu nawajua wamekuwa na Baba wakambo na wanaheshimiana sana.

Kama mtu anaishi na Mama yako vizuri na anakujali what is ur problem? labda tu uwe na tabia mbaya.

Kuna binti wa rafiki yangu, alilelewa na Mama wa kambo ila huwezi jua hicho kitu ukiwaona.

So mambo mengine ni life style tu
 
Back
Top Bottom