Unalijua hili kuhusu Mtoto wa kambo?

Unalijua hili kuhusu Mtoto wa kambo?

umaskini ni laana
😂😂

Kweli mwenyezi Mungu atusaidie sana tukimbie hii kitu!

Watu wanaweka expectations kibao kwa watoto, mtoto zaidi ya kukua awe mkubwa akaishi maisha yake nini tena mna mdai?

Nchi hii ni kisanga, ndio maana watoto wanazurura tu mtaani hata ile culture ya kuasili watoto hatuna.

Eenhe Mwenyezi Mungu nisaidie nitimize kusudi.
 
Sasa mnataka hao singo maza waolewe na nani? Sio kila singo maza alidhamiria kuwa singo maza... ubaya ni kwamba siku hizi akili za kivulana zimekuwa nyingi kuliko za kiume, wana wengi siku hizi wamekua sperm donor bila kujua.

So ukimpenda wewe oa, lea na mtoto ila uweke matarajio ya kawaida coz mtoto lazima aje amfahamu baba yake mzazi kwa maana ni haki yake ya msingi then baada ya hapo yeye ndio ataamua aisha na wewe mume wa mama yake au akaishi na baba yake. Na kama huwezi basi tafuta ambae hajazaa uoe.
 
😂😂

Kweli mwenyezi Mungu atusaidie sana tukimbie hii kitu!

Watu wanaweka expectations kibao kwa watoto, mtoto zaidi ya kukua awe mkubwa akaishi maisha yake nini tena mna mdai?

Nchi hii ni kisanga, ndio maana watoto wanazurura tu mtaani hata ile culture ya kuasili watoto hatuna.

Eenhe Mwenyezi Mungu nisaidie nitimize kusudi.
JIWE LIMETUA MAHALA PAKE SISHANGAI KUSIKIA SAUTI YA YALAAAAAAAA! KUTOKA KWAKO MREMBO.

Laiti kama ungejua mtoa mada ana Balance kiasi gani Bank, naamini usingesema neno umaskini/ufukara kwenye huu uzi Adhimu.

MJANJA M1 ✍️
 
Kijana endapo kama utaamua kuoa single mother na ukaamua kubeba majukumu ya ubaba kwa mtoto wake basi tambua kuwa mtoto hatothamini unavyojitoa kwake na kila utakachofanya ataona kuwa unayafanya hayo majukumu kwasababu upo na mama yake na sio kwamba unampenda kweli.

Mtoto wa single mother akifikisha umri wa kujitambua hatojali ulimfanyia mema kiasi gani, yeye atakachojua ni kwamba ulikuwa unafanya kwasababu ya mama yake akupende na awe nawewe tu.


Muda pekee ambao ataamini unampenda ni kipindi ambacho mama yake kaaga dunia na ukaendelea kumuhudumia kama mtoto wako.

ZINGATIA: UPENDO WAKO BABA WA KUFIKIA UTAPIMWA NA MTOTO WA SINGLE MOTHER KIPINDI MAMA YAKE HAYUPO ULIMWENGUNI.
Haiko hivyo huku kwenye ground mara zote.
 
JIWE LIMETUA MAHALA PAKE SISHANGAI KUSIKIA SAUTI YA YALAAAAAAAA! KUTOKA KWAKO MREMBO.

Laiti kama ungejua mtoa mada ana Balance kiasi gani Bank, naamini usingesema neno umaskini/ufukara kwenye huu uzi Adhimu.

MJANJA M1 ✍️
Sawa tajiri naomba teni! Namba yangu ile ile.
 
Sawa tajiri naomba teni! Namba yangu ile ile.
Matajiri huwa hatutoi hela for nothing.

MIMI MJANJA M1 MPAKA NAKUWA TAJIRI NILIPITIA MSOTO NA NILITUMIA AKILI NYINGI SANA KUFIKA HAPA.

KAMA UNATAKA PESA ZA TAJIRI MJANJA M1 BASI INAKUPASA UIHANGAIKIE KWANZA.

UPO TAYARI KUIHANGAIKIA HELA YA TAJIRI MJANJA M1?
 
Matajiri huwa hatutoi hela for nothing.

MIMI MJANJA M1 MPAKA NAKUWA TAJIRI NILIPITIA MSOTO NA NILITUMIA AKILI NYINGI SANA KUFIKA HAPA.

KAMA UNATAKA PESA ZA TAJIRI MJANJA M1 BASI INAKUPASA UIHANGAIKIE KWANZA.

UPO TAYARI KUIHANGAIKIA HELA YA TAJIRI MJANJA M1?
Ten tu tajiri unalia hivyo! Matajiri wapo kimya bwana!

turudi kwenye mada!
 
Ten tu tajiri unalia hivyo! Matajiri wapo kimya bwana!

turudi kwenye mada!
Umeona sasa!

Tatizo kubwa la watu wanaoishi maisha Duni ni kwamba wanaamini hela ya Tajiri ipo kugawa gawa hovyo na sio kuwekeza zaidi.

HIYO TEN ULIYOIOMBA NI BORA NIMPE MFANYAKAZI WANGU ILI NIMUONGEZEE MOTISHA/HAMASA YA KUNIINGIZIA PESA ZAIDI KULIKO KUKUPA WEWE STRANGER.
 
Umeona sasa!

Tatizo kubwa la watu wanaoishi maisha Duni ni kwamba wanaamini hela ya Tajiri ipo kugawa gawa hovyo na sio kuwekeza zaidi.

HIYO TEN ULIYOIOMBA NI BORA NIMPE MFANYAKAZI WANGU ILI NIMUONGEZEE MOTISHA/HAMASA YA KUNIINGIZIA PESA ZAIDI KULIKO KUKUPA WEWE STRANGER.
Ni vizuri kujifurahisha!

Leo nimebahatika kuchitchat na tajiri, what a lucky day!

Stay safe tajiri, ila fikiria kunipa hilo ten!

😊
 
Back
Top Bottom