Unalijua hili kuhusu Mtoto wa kambo?

Unalijua hili kuhusu Mtoto wa kambo?

Kijana endapo kama utaamua kuoa single mother na ukaamua kubeba majukumu ya ubaba kwa mtoto wake basi tambua kuwa mtoto hatothamini unavyojitoa kwake na kila utakachofanya ataona kuwa unayafanya hayo majukumu kwasababu upo na mama yake na sio kwamba unampenda kweli.

Mtoto wa single mother akifikisha umri wa kujitambua hatojali ulimfanyia mema kiasi gani, yeye atakachojua ni kwamba ulikuwa unafanya kwasababu ya mama yake akupende na awe nawewe tu.


Muda pekee ambao ataamini unampenda ni kipindi ambacho mama yake kaaga dunia na ukaendelea kumuhudumia kama mtoto wako.

ZINGATIA: UPENDO WAKO BABA WA KUFIKIA UTAPIMWA NA MTOTO WA SINGLE MOTHER KIPINDI MAMA YAKE HAYUPO ULIMWENGUNI.
Thawa
 
Unalijua hili?

Single Mother kama angekuwa hana Mtoto asingekubali kuolewa nawewe.

SINGLE MOTHER ANAOLEWA NAWEWE KWASABABU WEWE NI CHAGUO LA MWISHO NA SIO KWAMBA ANAKUPENDA SANA KULIKO ALIEMZALISHA.

Endelea na ubishi, ukikua utaacha ubishi.
Kama aliyemzalisha alifariki je?
 
So ukimpenda wewe oa, lea na mtoto ila uweke matarajio ya kawaida coz mtoto lazima aje amfahamu baba yake mzazi kwa maana ni haki yake ya msingi then baada ya hapo yeye ndio ataamua aisha na wewe mume wa mama yake au akaishi na baba yake. Na kama huwezi basi tafuta ambae hajazaa uoe.
Hiki ndo wengi hawapendi.
Unajua kwa kawaida malezi kwa wengi ni kama uwekezaji.
 
📌Kuna kenge mpaka zipige kichwani na kutoka damu masikioni ndo zisikie.

📌Mwanaume kuoa SINGO MAZA ni kiashiria cha UDHAIFU wa hali ya juu.Pia ni kujitafutia LAANA na lazima asili ITAKUADHIBU kwa ujinga wako na maamuzi ya hovyo ambayo hata mbwa na paka hawawezi kufanya.
 
📌Kuna kenge mpaka zipige kichwani na kutoka damu masikioni ndo zisikie.

📌Mwanaume kuoa SINGO MAZA ni kiashiria cha UDHAIFU wa hali ya juu.Pia ni kujitafutia LAANA na lazima asili ITAKUADHIBU kwa ujinga wako na maamuzi ya hovyo ambayo hata mbwa na paka hawawezi kufanya.
Kweli mkuu ukioa single mother tena aliezaa na Mume wa mtu laana itakuja kuwapata watoto wako na wao watakuja kuzalishwa na waume za watu.
 
Kweli mkuu ukioa single mother tena aliezaa na Mume wa mtu laana itakuja kuwapata watoto wako na wao watakuja kuzalishwa na waume za watu.
Mifano ipo mingi hawa watu wapo DAMAGED beyond repair!!!

Singo maza gata malezi yao kwa watoto ni changamoto.Usishangae ukioa single maza na watoto wako watakuja kuoa single maza au kuwa masingo maza🤗


📌Kataa MASINGO MAZA,MASINGO MAZA NI LAANA!!!
 
Kama aliyemzalisha alifariki je?
Acha ujinga hata kama alifariki na akachomwa moto na majivu yakatupwa mtotoni.USIOE MWANAMKE ASIYE BIKRA KIJANA,ACHA KUWA LOFA.

kwanini uoe mwanamke used wakati wapo ambao ni BIKRA,sababu yako hasa ni ipi zaidi ya kutaka KITONGA.Wavulana mamario wasio na pesa wala kazi ndio wanaojishikiza kwa MASINGO MAZA.

Usioe mwanachuo huyo wahuni wamepasiana hiyo K huko chuoni kama KAPU LA SADAKA. Amefumuliwa kila kitu na kujaribu kila ushenzi.Ameenda mpaka NIGHT CLUB ila atakuektia hajui hivyo vitu au atakudanganya ameokoka ili uingie kingi.

Anaweza kuwa amepigwa miti mpaka kwa MPALANGE kwakua huko vyuoni wanajaribu kila aina ya uchafu. Wenywe wanakwambia chuo ni sehemu ya kula maisha na kupata new life experiences (HOE PHASE OF LIFE).Kimbia katafute BIKRA UOE acha ujinga utakuja kushtuka muda umekutupa mkono!!!

📌SINGO MAZA NI LAANA,HANA BARAKA!!!
📌Wanachuo ni malaya,Usioe malaya utachapiwa!!!
 
Back
Top Bottom