Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
ukishafika mda jua linazama akili zinaanza kuwa za uvccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
usikute mleta mada kaletewa baba wa kambo akiwa mkubwa sasa zile hasira za kwann mama analiwa 😂😂😂😂 zinamuondoa ufahamu...... anaongozwa na mihemko ila jamii haiko hivyo tumeona wengi wamelelewa na baba wa kambo na heshima ipo mpka kwanapofaniliwa baba haachwi nyuma..... sasa utakuta kalelewa na lisingo maza lisilojielewa anataka kuwajumuisha woteHakuna fact mdau hapo.
Upendo haujifichi kabisa.
Ukimpenda mtu for no reason ndio Upendo.
Hata kama atakuwa na perception yatofauti kiasi gani.
Kuna watu nawajua wamekuwa na Baba wakambo na sana.
Kama mtu anaishi na Mama yako vizuri na anakujali what is ur problem? labda tu uwe na tabia mbaya.
Kuna binti wa rafiki yangu, alilelewa na Mama wa kambo ila huwezi jua hicho kitu ukiwaona.
So mambo mengine ni life style tu
Soma nilipoweka Bold.Hakuna fact mdau hapo.
Upendo haujifichi kabisa.
Ukimpenda mtu for no reason ndio Upendo.
Hata kama atakuwa na perception yatofauti kiasi gani.
Kuna watu nawajua wamekuwa na Baba wakambo na sana.
Kama mtu anaishi na Mama yako vizuri na anakujali what is ur problem? labda tu uwe na tabia mbaya.
Kuna binti wa rafiki yangu, alilelewa na Mama wa kambo ila huwezi jua hicho kitu ukiwaona.
So mambo mengine ni life style tu
Hujalielewa Bandiko.usikute mleta mada kaletewa baba wa kambo akiwa mkubwa sasa zile hasira za kwann mama analiwa 😂😂😂😂 zinamuondoa ufahamu...... anaongozwa na mihemko ila jamii haiko hivyo tumeona wengi wamelelewa na baba wa kambo na heshima ipo mpka kwanapofaniliwa baba haachwi nyuma..... sasa utakuta kalelewa na lisingo maza lisilojielewa anataka kuwajumuisha wote
kaka kuandika huwezi nani akuelewe Asee badili fikra pole kwa kupata baba wa kambo maskini ila mlaumu mama yako hajui kuchaguaHujalielewa Bandiko.
NGOJA NIKUPE MUDA ULISOME TENA HILI BANDIKO BUJARABU.
NAAMINI UTALIELEWA TU!
Si kweli, kubaki masikini ndio laanaumaskini ni laana
😅😅😆😆😄🤣🤣Na ma single maza wana roho ngumu, hawafagi upesi utatangulia wewe
Ikitokea na we umemzalishaUnalijua hili?
Single Mother kama angekuwa hana Mtoto asingekubali kuolewa nawewe.
SINGLE MOTHER ANAOLEWA NAWEWE KWASABABU WEWE NI CHAGUO LA MWISHO NA SIO KWAMBA ANAKUPENDA SANA KULIKO ALIEMZALISHA.
Endelea na ubishi, ukikua utaacha ubishi.
sio baba wa kufikia na siwezi kuwa baba wa kufikia maana nina maamuzi ya kiume. familia unaianza kwenye msingi ukielewa hii point msingi basi utakua umejikomboa kwa namna fulaniWEWE NI BABA WA KUFIKIA.
Pole sana kijana, najua maumivu unayoyasikia.
Watu wenye akili wote tumeshajua kuwa wewe ni Baba wa Kambo.sio baba wa kufikia na siwezi kuwa baba wa kufikia maana nina maamuzi ya kiume. familia unaianza kwenye msingi ukielewa hii point msingi basi utakua umejikomboa kwa namna fulani
Inawezekana aisee.usikute mleta mada kaletewa baba wa kambo akiwa mkubwa sasa zile hasira za kwann mama analiwa 😂😂😂😂 zinamuondoa ufahamu...... anaongozwa na mihemko ila jamii haiko hivyo tumeona wengi wamelelewa na baba wa kambo na heshima ipo mpka kwanapofaniliwa baba haachwi nyuma..... sasa utakuta kalelewa na lisingo maza lisilojielewa anataka kuwajumuisha wote
unayajua au sio basi nikupe pole sanaPOLE SANA KIJANA, NAJUA MAUMIVU UNAYOYASIKIA.
Sio kweli mdau.Soma nilipoweka Bold.
ZINGATIA: UPENDO WAKO BABA WA KUFIKIA UTAPIMWA NA MTOTO WA SINGLE MOTHER KIPINDI MAMA YAKE HAYUPO ULIMWENGUNI.