lordchimkwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 1,914
- 3,356
Yupo sahihi sa hv mzazi usipoandalia wanao mazingira waneumia hii sio miaka ya 90Unawaza urithi, ni hasara kwa wazazi wako.
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo sahihi sa hv mzazi usipoandalia wanao mazingira waneumia hii sio miaka ya 90Unawaza urithi, ni hasara kwa wazazi wako.
Mbafu ,Sasa Bible na sisi weusi wapi na wapi,ukiangalia mle hakuna sehemu yoyote Tanzanian au mtanzania katamkwa,hata barua iliyotumwa kwetu hakuna,au waraka,barua ilitumwa kwa wakolinto na si wasambaa,so hakikuhusu na usiingilie yasiyo kuhusuMimi ni mkristo. Kanisani na hata Kitabu changu kitakatifu biblia kimeniambia hivi
Mit 13:22
Mtu mwema huwaachia wana wa wanawe urithi.
Yaani sio wanangu tu. Mpaka wajukuu zangu natakiwa niwaachie urithi
Kunywa nyingine mbili nitalipa.Wanadamu wachokozi,
wazandiki na makuhani tena wanahiyana....unakifua gani cha kuhoji unywaji wangu,kisa wewe hunywi.
Majukumu yangu yooote huyaoni bia mbili tatu kesi
Mbafu ,Sasa Bible na sisi weusi wapi na wapi,ukiangalia mle hakuna sehemu yoyote Tanzanian au mtanzania katamkwa,hata barua iliyotumwa kwetu hakuna,au waraka,barua ilitumwa kwa wakolinto na si wasambaa,so hakikuhusu na usiingilie yasiyo kuhusu
Bora umenisaidia....anayewazia urithi ni mwehu..shule sio kuajiriwa, kichwa ndio mtaji Mkuu sio majumba..kariakoo na kwengineko wameachiwa urithi wa majumba,kwa kariakoo almaarufu migodi...lkn maisha wanayoishi utawaonea huruma...darasa hawajaenda walau form four ya Elimu bure waliikosa wanatesekaUnawaza urithi, ni hasara kwa wazazi wako.
Nina watu wawili au watatu pekee ambao sikutani nao mara mbili annually. Maana yake sina msela wa kunifungulisha wallet, Akili kubwa ninazipata kwa wasela ninaokutana nao bar,pub nk awali my dream car ilikuwa ya ajabu sana sasa najianini na ndinga ya maana. Ujenzi wa maana nk nkMoja ya ujinga ni kufananisha bia na tofali. [emoji23][emoji23] huyo ambaye hanywi sasa umemzidi kila kitu. Hawajui kwenye bia tunakutanaga na connection na deal kibao . Ila watu ambao hawanywi wengi wanakuaga wambea na wanafki makazini ( sio wote ila asilimia kubwa) . Angalia ata washkaji wasiokunywa wengi wana ma snitch snitch ivi.
Note: washkaji zako mnaopiga vyombo na mnapeana ma deal ya kazi na maendeleo kwenye maisha, iyo ni bonge moja la company. Chamsingi tu usiwe na wasela wasiojua kufungua wallet bill ikija na wasiotoa mawazo pevu .