Saf Sana mkuu wanaume kamili tumsapoti mtoa Mada Dume zima unakuta linashinda status kaz kujipiga filta na kujirembuaKuja wengine wana vile viapp vya kuwanotify mtu fulani akiwa online, yaani ukiwashadata tu unakutana na status 'just now' venye nawapuuzaga mixer kuwa mute mpaka tukikutana physically wananunaga kabisa.
Ndio simu yako na bando lako ila tabia nyingine waachieni dada zenu. Na wengi wanaomuandama mtoa mada ndo tabia zao, janaume zima eti lina akaunti Tiktok
What the F*ck
Una bei gani?tuwe marafiki basi
Eeeh bei tena,, kwaheriUna bei gani?
Jipost basi Nikufikiriee..Eeeh bei tena,, kwaheri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Kwa siku ana post picha kumi na wewe unamfuatilia mpaka ukajua kua kwa siku anapost picha kumi! sasa huyo anayepost picha kumi kwa siku na wewe unayemfuatilia ni nani hasa aliyekosa kazi? au mna tofauti gani?
[emoji16] akaaBinafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...
Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....
Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Hapo sasa mwenyewe unajikuta ndio akili kupita wote
AkuuuJipost basi Nikufikiriee..
Jipost shemejiAkuuu
Wewe ndio huna kazi sasa yaaani unapata na muda wakwawazia kuwa kazi anafanya saa ngapi 😂😂😂😂😂😂Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...
Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....
Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Nyie endeleeni kuniumba ila kujipost msahau kabisaJipost shemeji
Mbona una makasiriko kwenye maisha ya watu wewe ishi urakavyo acha umbea kwenye maisha ya watuKuja wengine wana vile viapp vya kuwanotify mtu fulani akiwa online, yaani ukiwashadata tu unakutana na status 'just now' venye nawapuuzaga mixer kuwa mute mpaka tukikutana physically wananunaga kabisa.
Ndio simu yako na bando lako ila tabia nyingine waachieni dada zenu. Na wengi wanaomuandama mtoa mada ndo tabia zao, janaume zima eti lina akaunti Tiktok
What the F*ck
Hivi hajakimbia uzi kweli?Miongozo mkolezo🤣🤣🤸
Wakuda mko wengi sana [emoji3][emoji3]Binafsi...Mimi siyo Watsap status tu...Maana naweza nisi'view...
Kuna wale watu wasio na kiasi na hii kitu Inaitwa mitandao ya kijamii....Unakuta mtu 24/7...Yupo Mtandaoni....
Huwa najiuliza...Kazi anafanya saa ngapi...Okey...Mwingine atakuambia mitandaoni ndiko anafanyia kazi zake...Najiuliza tena... Ni saa ngapi anapata muda wa kupangilia/kuwaza mambo yake?
Yani upo kama Mimi.Siku hizi maisha yamerahisishwa, una mute, block au kufuta kabisa namba😂😂ila tu nina roho mbaya kinoma,
Nje ya mada mi hata tukigonga zaidi ya mwaka bila kuwasiliana nakufuta kwenye phonebook yangu
Basi poa.Akuuu
Kasepa kitamboHivi hajakimbia uzi kweli?
Manake hii miongozo sio poa