Unamiliki iPhone ya macho matatu wakati hata kiwanja huna, wewe ni bure tu

Nadhani ungekuwa kwanza unachunguza kama ni Fake au original maana iPhone fake mpaka 10,000 unapata.Mwisho wa kuwasilisha
 

kwani hiyo iphone ya milioni na nusu alinunulia nini;
 
Leo wamezindua iphone 13 wawaonee huruma dada zetu,marinda yataisha n break za kuzuia kimba zinaisha...watafika mbinguni wamechoka sana
Dah! demu akikuchomekea gia ya iphone 13 kwa usawa huu inabidi umwangalie kwa jicho la tatu....
 
Yaani kuna watu akiwa na kiwanja basi anaona keshapatia maisha. Kila mtu ana kipaumbele chake ndugu tusipangiane. Kiwanja chenyewe umenunua huko kibaha ndanindani huwezi hata weka duka then unajisifu kuwa na kiwanja.
 
Daaah
 
Mali ya kuchuma kwa jasho lako ndo nzuri urithi wa nini
 
Kuna demu huku niliko alikuwa ananiponda sb mie kuwa na Samsung kisa hiyo iPhone, at the same time ananiomba 50000/= balaa.Nilimpotezea mpaka kesho sikumpa shenzi yule
Safi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…