Unamkumbuka Crush wako wa utotoni? That was real and only unconditional love you will ever experience

Huo ni ubinafsi tuuu
 
Nimemkumbuka Dotto Manyasi. Tulisoma Pamoja Iseni Primary School, Nyegezi Mwanza. Nilikuwa tukitoka Shule saa 8 mchana, jioni saa 10 nafunga safari mpaka kwao Nyegezi kijiweni, Naangalia nyumba yao mpaka saa 12 jioni narudi home. Moyo umefurahi kabisa.
Sikuwahi kumtamkia chochote zaidi ya kutabasamu kila tukigongana macho.
Nashukuru Mungu nilifanikiwa kupata picha yake siku ya Graduation ya la Saba. Mpaka sasa ninayo.
 
Very emotional text, hope she make it through
 
Mkuu Jackie alikuwa mwenyeji Wa Kahama?
 
Namkumbuka sana Mage Wa Pale Edmund rice sinon secondary Arusha. 2007-2010 form one to form 4. She was my crush ila nilikuwa domo zege. Yeye mwenyewe alikuwa ananielewa lakin sasa uoga nikikutana naye nakimbia. Alikuwa mpaka ananifata lakin naogopa kumwambia. Dah, Mage, nikikumbuka naumia sana na udomo zege wangu. Mpaka form 4 sikuwahi kumwambia kitu. Tulimaliza akabaki pale kuendelea na 5 sisi tukajiunga zetu kwa Kikwete. Nilikuja kumuona Facebook nikamcheki lakin tukawa tunachat kwa kujikongoja. Nikaamua kuvunga tu. Nilikutana naye mahali nikajaribu kuita nahisi alikuwa na mume akaogopa kusimama. Dah, Mage ulipo nakukumbuka sana.
 
Daah.joice huyu nilikuwa nampenda lakini nilikuwa namuogopa.yaani nikimuona yuleee nakimbia
 
[emoji23]
 
Hee ila wanaume[emoji848]

Sasa kwanini usimsaidie?
 
😂😂 hili neno la wacha we alikua anapenda sana kulitumia bby angu yani kipindi namueleza ya moyoni navyompenda yeye anasema wacha we...usinambie!! aisee.
🤣🤣🤣🤣🤣
Na mimi ndio zangu!!
 
Mdogo wangu akiwa darasa LA 5 Kayumba primary school. Kuna mdada WAnasoma nae same class, binti akamuandikia barua ya mapenz kua anampenda. Dogo aka panic kachukua barua kaenda kumsemea kwa mwalim wa darasa ikabidi mzee aitwe shule. Mzee alirudi home a nacheka, na sisi home tukacheka Sana. Apo nipo form 3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…