Dah... mtoto pendo... nisipoenda class vidudu hasomi, analia siku nzima hadi arud hom anione....
Nami nikampenda, sipandi piki piki 110 ya baba adi niwe na pendo
Pendo roho iliniuma baba angu alipoamua darasa la kwanza nikasomee kwetu milimani... huo ukawa mwanzo wa kukupoteza pendo.
Ninarud darasa la3, pendo wamehama, haijulikani wapi... naangukia kwa salma... mtoto mixer mrangi na muarabu... salma anakua serious hanipendi hadi siku nawakuta wanacheza kimama mama... nakaitwa niwe baba... penzi likawa la kweli... nikitoka shule salma lazma aje kwetu... nimuoneshe mbwa wangu simba.. mbwa anayeogopeka mtaani kwetu nyuma ya mskiti wa masjid qubah.... ah salma tukicheza kombolela twaenda jificha juu ya magunia ya mahindi yalopangwa hadi juu... tunatafutwa hadi tunaitwa tujitokeze...
Tunahamia chang'ombe hadith yangu na salma nayo inaishia hapo...
Najikuta namtaman nankumpenda mtoto anjelina... ila yuko sirias na shule, hataki ujinga... ananikataa
Maisha yanaenda kwa kasi huku na kule namaliza form4... nakuwa rafiki na jamaa mmoja... urafiki kupitia rafiki.
Naenda kumpitia nyumbani kwa jamaa twende club84, lahaulaaaah... namkuta pendo... kumbe jamaa ni kaka ake pendo... pendo hanikumbuki na mm naingia ganzi coz imekua pisi kali balaaaaaaaa.
Baada ya muda namkumbusha... dah pendo anafurah... tunaanza urafiki.... baada ya muda kidume naomba game...
Pendo anakolea kwa shoo za kibabe na kisela.... lkn anakuja gundua nina pisi nyingine..... anapata tabu sana hadi jamaa ikabidi aniombe nimsaidie dada ake asije kufa kwa tatizo la moyo... mimi usela unakua mwingi nimekolea kwa mtoto wa kiswazi mtoto wa kawaida sina ilanhana complication... mtoto wa kiswazi ila anaishi kizungu..... kuhama mkoa inakua suluhisho kwa pendo... anaenda kwao moshi....
Maisha yanaenda kwa kasi ya ajabu...
Siku nipo nam hotel, nakula zangu bia, mara zinaingia pisi kama 3 ivi kali balaa... kuchek moja naiona kumbe ni salma... dahhh.... bila kujizuia kaja tukahug.... salma kachora mitatuu... salma anaonekana kawa paka shume... anaonekana ukiingia kiboya unapigwa ela na mzigo hupati... kumbe yana apointment na mbunge fulani wakale raha..
Salma ananipa namba.... baada ya kuondoka na yule mbunge... usiku salma ananichek ananiambia amelewa sana anaomba nikamchkue nmpeleke nyumbani... dah
Kiukweli sikuweza kubisha, namkuta dodoma hotel, anaingia kwe taksi ya jamaa yangu yasin mzee wa kuwalamba... jinsi alivyo jambazi kumbe salma keshanitathmini kajua labda nna maisha... dah kumbe me kachala tu mzee wa mishe mtu wa watu... akiwa amenikumbatia ananiambia hawez kwenda kulala pekeake kwanza kwao hawatamfungulia.... dah.. kidume namwambia yassin anipeleke geto.....
Mwezi na zaidi salma anakolea... mara paap... siku anakuja na kikaratas cha hospital... kapima ana mimba, yuko pia na kipimo cha mkojo kwamba kama siamini apime tena mbele yangu... lahaulaaa
Salma uyu uyu mtoto wa mjini mwenye mambo mengi... aaah siwez zaa na mwanamke wa ivi mimi... najisemea akilini
Salama anagoma kutoa mimba anaamua kuzaa..
Mishe za hapa na pale... huku na kule tunapoteana na salma...
Maisha yanaendelea...