Natasha Ismail
JF-Expert Member
- Jul 14, 2008
- 748
- 650
Kwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua
vipi Chris Phaby
Duuh Dada wakati ukuta kweliEnzi hizo ukiwa Mbowe ule mziki wa mwisho ndio unakupa akili utaingiaje home wakati ulitokea dirishani.
sky Eclat kumbe na wewe mhenga mwenzangu nikitaja jina small jobisi si geni tena masikioni mwakoLong time enzi za Mbowe Hotels kabla ya Bilicanas
John Dillinga Matelou aka DJ JD huwaalika siku mojamoja na kufanya show pale Legends Club!Hv siwezi kupata clips za hawa jamaa wakisakata disco.....napenda sana disco zao
@mtoto wa kuku asante kwa kuanzisha huu uzi.... maana mm ni kati ya wapenda fkashback na old skul hatari kwa kifupi naziishi hizo mambo!Anaitwa MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo... Enzi za muziki wa Disco Uko juu sana jamaa alikuwa maarufu sana kwa aina ya uchezaji mpaka disco linapotea kwenye ramani jamaa alikuwa Hana mpinzani
Jamaa baada ya kuwa maarufu kupitiliza aliamua kujiingiza kwenye madawa ya kulevya miaka hiyo na baada ya madawa kumtawala sana ulitokea ugomvi Kati yake na baba yake mzazi mzee SIMBA nyumbani kwao magomeni mapipa na MUSSA SIMBA aka BLACK MOSES aliamua kujiua
R. I. P KING BLACK MOSES View attachment 851604
Sent using Jamii Forums mobile app
Phaby alikua DJ nadhan ameokoka sasa hivi yupo Agape Tv nadhani kwa Fernandez, Jamaa alikua mwajiriwa wa TCC kiwandani ila weekends anaturusha kama kawavipi Chris Phaby
Hata mimi nafahamu hivyo hii ya suicide nashangaa imekuwaje tena na nilisoma kwenye gazeti kipindi alivyofarikiKwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua
Hicho kifo cha mateso kilitokana na nini mkuu?Ahsante sana kwa mkuu kwa kutukumbusha wakati nchi ina adabu na heshima,vipaji hivi vya vijana hawa as a country we let them down,kulikuwa hakuna mfumo wa kuwaendeleza na kilichotokea watu wajanja wakawa wana make money out of them ,shame on them na mbaya zaidi mwisho wao wengi haukuwa mzuri,Black Moses (commit suicide)why hakuna aliyejishughulisha,hapo juu mkuu Fulani kutuambia Super Ngedere kawa mtu wa kuomba omba,na mbaya zaidi Bosco Cool JJ alifariki kifo cha mateso sana pale cape town(SA)na kama walivyo mabolozi wetu nje hawana mpango kabisa kinachotokea kwa raia wetu kwenye nchi wanazotuwakilisha na kesi yake imekuwa ni cold case;but anyway nimeishi maisha safi safi ndani ya nchi yangu kipindi hicho ila yanayotokea kwa sasa tuombeane heri tu.
miaka ipi hiyo Mkuu?BlackMoses na Athumani Digadiga na kina Bosco CoolJ walitikisa jiji enzi zao.
πππ ilikuwa mitaa ya Salender Bridge mkuu long way back
Mimi si daktari mkuu mimi kidampa tushkamoo dokta
Me niliona show zao mwaka 2016 Hapo mzalendo, aliwaleta Dj Jd, alikuwa huyo Ngedele na jamaa mwingine bonge hivi, ngoja nitafute video zao nilichukuaJohn Dillinga Matelou aka DJ JD huwaalika siku mojamoja na kufanya show pale Legends Club!
Nakumbuka Digadiga aliwahi kuonesha show ilikuwa balaah sana!
Sent using Jamii Forums mobile app
Rungwe na Kilimnjaro Hotel piaLong time enzi za Mbowe Hotels kabla ya Bilicanas