Unamkumbuka Mussa Simba aka Black Moses: Huyu alikuwa bingwa wa Disco miaka hiyo

Kwa ufahamu wangu Black Moses kifo chake kilisababishwa na ugonjwa wa kipindupindu sio kama tunavyofahamishwa kwamba alijiua

Nami naelewa hivyo KIPINDUPINDU ndio kilimuuua..Mwaka 1999 nilimkuta Mwanza kijiji fulani kinaitwa USAGARA akaenda kucheza shoo alikuwa kasachoka sana.Aliacha shule form two Mtwara baada ya ubingwa wa Taifa.RIP
 
Enzi hizo alikuwepo Dada mmoja akiitwa Fatuma Zahoro au (DiscoDancer) R.I.P...huyu alijiua kwa kunywa vidonge vingi vya Cloroquine kisa kazuiwa kwenda kwenye Disco na wazazi wake..
Yote kwa yote Mussa Simba (R.I.P.) siku za mwisho za uhai wake alikuwa teja tena pwaku pwaku hatari..

Ndugu zake walikuwa wakimfungia ndani kwao Mwanza mitaa ya Rufiji..

Sina hakika kama alijiua lakini tatizo kubwa lilikuwa ni uteja..alikuwa amesha hathirika vibaya sana kwa madawa.
 
@mtoto wa kuku asante kwa kuanzisha huu uzi.... maana mm ni kati ya wapenda fkashback na old skul hatari kwa kifupi naziishi hizo mambo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hicho kifo cha mateso kilitokana na nini mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
John Dillinga Matelou aka DJ JD huwaalika siku mojamoja na kufanya show pale Legends Club!

Nakumbuka Digadiga aliwahi kuonesha show ilikuwa balaah sana!

Sent using Jamii Forums mobile app
Me niliona show zao mwaka 2016 Hapo mzalendo, aliwaleta Dj Jd, alikuwa huyo Ngedele na jamaa mwingine bonge hivi, ngoja nitafute video zao nilichukua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…