Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
YapH
Hongereni sana
Bado mpo wote!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
YapH
Hongereni sana
Bado mpo wote!?
Halafu huyo dogo NI kayanki tuu kapo under 24[emoji2][emoji2][emoji2] JF burudani sana,kwahyo coca anagawa 0712?
Hata yeye pia alikua mzuri .Njogopa jina zuriii
Wee ni mwehu kweli, akati ni mwalimu wa kike.Huna zawadi ya kumpa zaidi ya kisamvu .
Bahati nzuri Mwl hatumii hiyo kitu.
Akikuona lazima atasikitika sanaa
Alikufundisha wapi!?Mwl G Manyerezi RIP.
AhhhhaajjWee ni mwehu kweli, akati ni mwalimu wa kike.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umevurugwaa wee.
Hakuna sehemu,na ninasisitiza,hakuna nilipojiita mzee.BTP yako ulifika wakati tupo na mwalimu Kikoti tunazurula pale Ndiuka.Unajiitaje mzee wakati mwaka 1985 nilikuwa btp hapo igumbiro primary? Huenda nilikufundisha nyimbo za mchakamchaka!
Mzee mwenzangu 😅Std 1 Mwl. Lunyirija, Upanga Primary School.
She is the best😍
Chekechea simkumbuki hata mwalim mmoja ila nakumbuka shule ilikua pale Vijana opp na Mango garden miaka ya 90's.
Mwalimu Ndosi MuhimbiliMimi namkumbuka Mwl. Minja.
Yule mama Mungu ampe maisha marefu, kuna siku moja nilitaka kujisaidia haja ndogo ila zipu ya mkaputura wangu ukagoma kushuka chini!
Yule mama aliponiona nalia kwa kuhofia nitajikojolea akaja akanituliza kwanza. Akaniuliza shida nini, nikamwambia zipu imegoma kushuka chini hivyo muda wowote nalimwaga kojo.
Hakunisema wala kunipiga, ila alifungua zipu yangu na kuishusha chini kisha akakishika kibamia changu akakielekezea kwenye shimo moja ndani ya Darasa la kwanza pale Makurumla Primary School mwaka 1995, sitamsahau kwa hilo.
Popote ulipo mama Mungu akubariki.
Mwenye dada hakosi shemejiTupo hai na wote ni wakubwa sasa
Kama mimi na kibaridi hiki nazunguushana tu na toto la mtu 😂😂😂
Mungu awape maisha marefuMwalimu Ndosi Muhimbili
Mwalimu Kidulile
Mwalimu Mayunga
Mwalimu Muhimbira
Mwalimu Nanakara
Mwalimu Mahimbo
Mwalimu Shayo
Mwalimu Massawe
Hawa ni baadhi ya walimu shule ya Muhimbili
Tumekula chumvi nyingi 😂Mzee mwenzangu 😅
Mkuu na wewe una pacha wako!?Mwenye dada hakosi shemeji
Kumbe mapacha tupo wengi
Si haba ni muda wa kuwa na wajukuuTumekula chumvi nyingi 😂
To yeyeYes, anaitwa to yeye