Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Enzi za utumwa na ukoloni uchawi ulikuwa karibu kila mwafrika alikuwa ni mchawi sababu wakata mikaa wa kumaliza miti awakuwapo,huwa najiuliza walishindwa vipi kuwaroga wakoloni ili wasiwatawale au kuwachukua utumwani Babu zetu?Na hawajawahi kuloga ili madini yawafaidishe.
Nikisema tuna matatizo sehemu sehemu naonekana miyeyusho