NyegereBOY
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 225
- 328
- Thread starter
-
- #61
Hata hiyo miamala unayosema inaeleweka ilipoanza Kuna watu kama wewe hawakuielewa na iliwapa fursa walioielewa kunufaikaYaani unamshauri mtu aachane na biashara ya miamala iliyo wazi halafu afuate hii ya kwako isiyoeleweka mpaka uwashawishi watu kwa nguvu? π€£π€£
Kuna swali ungependa kuuliza !Nimetoka kapa,wangapi mmeelewa
πππ
????Hata hiyo miamala unayosema inaeleweka ilipoanza Kuna watu kama wewe hawakuielewa na iliwapa fursa walioielewa kunufaika
Wewe ni taperiInaonyeshwa wazi kuwa mara nyingi hu jump kwenye conclusion bila kujipa nafasi ya kutafakari na kujiuliza maswali
Uliza swali kwanza uondoe fikra mgando
Sawa nakubaliana na mawazo yakoWewe ni taperi
Nimeeleza kwenye comment umefanikiwa kusoma pia !Mbona kama maelezo ni mengi mno lakini hayasemi ni buashara gani exactly?
Ok mkuuNimeeleza kwenye comment umefanikiwa kusoma pia !
Huku unalipwa Kwa commission na commission yake ni nzuri kuliko hata miamala ila Kwa Mteja mmoja unalipwa mara Moja pekee na asilimia ya malipo ni 100% akichukua huduma kwaio kazi yako wewe ni kiwaunganisha hao wateja na huduma so kwenye kuunganisha kwenye huduma Mteja wao lazima alipie dhamana ( security deposit ) kama wateja ni wa eneo lako unaweza kuwalipia wakapata huduma Kisha hela yako ikarudi kwenye commission ni kama Wakala wa laini anapokuambia sajili laini bure na Tunakupa vocha bure , unajua niwapi hurudisha hela yao ? Ni kwenye commission mkuuMaelezo nimeyasoma vizuri sana ila sijajua ukiwa kama wakala unafaidikaje maana wakala wa mixx by yas tunajua faida anapata kwa commission kulingana na miamala aliyofanya vipi huku
Bado sijaelewa vizuri commission yake inavyopatikanaHuku unalipwa Kwa commission na commission yake ni nzuri kuliko hata miamala ila Kwa Mteja mmoja unalipwa mara Moja pekee na asilimia ya malipo ni 100% akichukua huduma kwaio kazi yako wewe ni kiwaunganisha hao wateja na huduma so kwenye kuunganisha kwenye huduma Mteja wao lazima alipie dhamana ( security deposit ) kama wateja ni wa eneo lako unaweza kuwalipia wakapata huduma Kisha hela yako ikarudi kwenye commission ni kama Wakala wa laini anapokuambia sajili laini bure na Tunakupa vocha bure , unajua niwapi hurudisha hela yao ? Ni kwenye commission mkuu
Maelezo haya mazuri ilipaswa yawe sehemu ya posti yako ya kwanza, Hakika flow ya comment ingekuwa nzuri na kwa kiasi kikubwa ungefanikiwa kufikia lengo la kuweka tangazo.Mkuu ulikuwa na nafasi ya kuuliza swali usipoelewa haya Kwa lugha nyepesi
Kuna huduma inafahamika kama mjasiriamali box huduma hii ilianzishwa na yas zamani Tigo Kwa lengo la kuwapa suluhisho wafanyabiashara na wajasiriamali kupata huduma za kimtandao kwaajili ya biashara zao Kwa gharama nafuu wakiyofautisha na mteja wa kawaida ambae Sio mfanya biashara huduma hizo ni
1. Internet isiyokuwa na kikomo
2. Internet ya makazi ya majumbani
3. Bulk sms
4. Vifurushi vya GB nafuu
5. Huduma ya CUG
Kifupi zipo nyingi sasa basi wewe Mwenye mtaji unapenda kuwa Wakala wao wa kuwatafutia au kuwahudumia Hawa wateja wote wenye uhitaji wa huduma Moja wapo kati ya nyingi uzitoazo kipi ambacho hakijaeleeweka
Tujenge hoja Kisha uliza swali
ππππ Asanteh kaka nimechukua ushauri wako nitalirekebisha na hayo maelezo yote yatakuwepoMaelezo haya mazuri ilipaswa yawe sehemu ya posti yako ya kwanza, Hakika flow ya comment ingekuwa nzuri na kwa kiasi kikubwa ungefanikiwa kufikia lengo la kuweka tangazo.
Kiukweli hadi muda huu naandika hii comment bado sijaelewa nini hasa huduma yako.
Ushauri.
Tulia soma comment angalau ishirini za kwanza, kisha tumia hizo comment kama sehemu ya kuboresha posti yako ya kwanza, Tangazo zuri halihitaji haraka.
Mfano hai: Angalia hili tangazo langu hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Tangazo nimeweka 2016, content inaelewek na ni valid hadi ssa.
Ombi: Rekebisha post ya kwanza, utaona comment za wadau zikiwa na mashiko.
Ni hayo tu. Sio kwa ubaya bali kukusaidia iwapo hata unaweka tangazo lingine tumia muda mwingi kupangilia na kulihakiki vyema.
rekebisha soma Kisha toa maoni au uliza swaliMaelezo haya mazuri ilipaswa yawe sehemu ya posti yako ya kwanza, Hakika flow ya comment ingekuwa nzuri na kwa kiasi kikubwa ungefanikiwa kufikia lengo la kuweka tangazo.
Kiukweli hadi muda huu naandika hii comment bado sijaelewa nini hasa huduma yako.
Ushauri.
Tulia soma comment angalau ishirini za kwanza, kisha tumia hizo comment kama sehemu ya kuboresha posti yako ya kwanza, Tangazo zuri halihitaji haraka.
Mfano hai: Angalia hili tangazo langu hapa: Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa
Tangazo nimeweka 2016, content inaelewek na ni valid hadi ssa.
Ombi: Rekebisha post ya kwanza, utaona comment za wadau zikiwa na mashiko.
Ni hayo tu. Sio kwa ubaya bali kukusaidia iwapo hata unaweka tangazo lingine tumia muda mwingi kupangilia na kulihakiki vyema.
Hongera, kwa kuweka update, Sasa nimeelewa na fursa ninaiona, Naendele kuchakata taarifa zaidi.Kuwauzia au kuwapatia wateja huduma hizi na wewe Yas watakutambua kama Wakala wao DSA ( DIRECT SALES AGENT )
Imekaa vizuri sana hii.UNARUDISHAJE MTAJI NA KUPATA FAIDA
Sasa hapa hesabu na utilize akili ukiweza kumlipia Genuine c customer watakulipa jumla ya commission yote Kwa mda wa miezi 4 ni 200% kwaio ukitumia 1.5M utatengeneza total 3,000,000 ukitoa mtaji ambao ni 1,500,000 utabakiwa na 1,500,000/=
Hata mimi pia nimekutana na nyota β¨π« nyota π«β¨ tu kwenye hii mada.Binafsi sijaelewa chochote hapa.. Labda ni stress nlizonazo.
Maelezo yote mkuu umeshindwa kupata hata MojaHata mimi pia nimekutana na nyota β¨π« nyota π«β¨ tu kwenye hii mada.