Unamtaji wa kuanzia 1.5M au ulikuwa na lengo la kufungua biashara ya M-pesa/Tigo pesa ? Achana na hilo wazo kwanza January hii Anza na hii biashara

Unamtaji wa kuanzia 1.5M au ulikuwa na lengo la kufungua biashara ya M-pesa/Tigo pesa ? Achana na hilo wazo kwanza January hii Anza na hii biashara

Salamu Sio muhimu sanaaa soma hapa chini 👇

Biashara hii ni Kwa wakazi wa Dar es salaam

Kama kichwa kinavyosema kama una mtaji wa 1.5M na unafikilia kufanya biashara ya kukuingizia kipato Cha uhakika na kujikwamua au kukutoa kibiashara au Kukuza mtaji wako basi soma maelezo vizuri elewa ukishindwa nitakuelewesha

Nianze Kwa kusema biashara za miamala ya kifedha na biashara nyingi zinazofanywa Kwa kuigana siku Zote zinategemea vitu Vingi ili uweze kufanikiwa kati ya wengi wanaofanya hiyo biashara

MFANO ; Biashara ya miamala ya kifedha unahitaji eneo lenye mzunguko na mtaji mzuri ili kuweza kuhudumia na kutengeneza Faida Kwa miaka ya sasa ukikosa kimoja wapo kufanikiwa kwenye biashara hii ni changamoto sana kwakuwa Faida yake ni ndogo sana inayotegemea hasa mzunguko na mtaji

Hali kadhalika kwenye biashara zingine ndogondgo zozote zenye mtaji kuanzia 1M Hadi 5M

Sasa basi Kuna biashara inapatikana kwenye mitandao ya simu hapa nchini, ila Mimi nitabase na mtandao wa YAS zamani Tigo kwakuwa ninauzoefu nayo na Bado naendesha gurudumu kupitia uwepo wa Hawa jamaa

Hawa jamaa Kuna huduma hutoa Kwa wateja wao ambapo Mteja hulazimika kununua hiyo huduma mara ya kwanza Kwa kuweka dhamana ili Mteja aweze kupewa huduma, sasa basi hii huduma kadiri miaka inavosogea na umuhimu wa Mawasiliano unavyokuwa mkubwa huduma hii imekuwa ikihitajika na watu wengi Kwa kifupi demand ni kubwa Kwa sasa

Sasa biashara Iko wapi hapa ! Sasa kutokana na uhitaji wake ni mkubwa wewe unachopaswa kufanya ni kimoja kuwasaidia kupata huduma wale wote wenye uhitaji Kwa kuwalipia dhamana zao, hii itakulipaje ?

Ndio mana nikasema unahitajika kuwa na mtaji kuanzia 1.5M na kuendeleza hata 10M wewe tu, Hawa jamaa watakulipa kulingana na wateja uliowaunganisha au waliopata huduma kupitia wewe

MFANO Kwa mtu Mwenye mtaji wa 1.5M anauwezo wa kuhudumia watu 50 Hadi 100 Kwa mwezi na ndio mana nikasema kwa mkazi wa dar es salaam n nzuri kwake kutokana na wingi wa wakazi waliopo hapa na advantage ya market dominance ya tigo hapa jijini ila Kwa wewe wa mkoani unaweza kufanya ukiwa hapo ulipo Kwa kuhudumia wateja waliopo eneo lako au hata kukuunganisha na waliopo mjini

( Biashara hii haikuhitaji fremu Bali mtaji pekeee uwe nao na wepesi wako katika kuhudumia )

Malipo utalipwa na kampuni Kwa wateja wote halali uliowaunga na hulipwa Kwa asilimia na asilimia wanayolipa ni 100% ya kile ulichokileta

Kwa maelezo zaidi najibu comment ya mdau yoyote atakaeulizwa swali Kwa wale ambao wangependa maongezi watatuchek PM


VITU MUHIMU VYA KUWA NAVYO ILI KUFANYA BIASHARA HII

* Uwe na UWEZO mzuri wa kutumia smartphone / laptop
* Uwe na UWEZO wa kutumia Excel kwaajili ya kutunza kumbukumbu za wateja wako na miamala
* Uwe na mtaji walau kuanzia 1.5M

BILA KUSAHAU 👇

Ukitaka kujaribu hii biashara na kupima upepo Anza na 400,000/=

LAKINI PIA 👇

Ukiona huna uwezo wa kufanya biashara inayohitaji utulivu na kutumia kichwa usifanye , inahitaji kujua kutengenganisha Faida na mtaji


Mwaka 2025 tuanze Kwa mapambano na tuyafikie mafanikio Kwa uchu mkubwa
Unazunguka sana hoja inazungshwa mno ndio maana wafanyamatangazo wengi ya ni bure kabisa

USSR
 
Unazunguka sana hoja inazungshwa mno ndio maana wafanyamatangazo wengi ya ni bure kabisa

USSR
Mkuu ulikuwa na nafasi ya kuuliza swali usipoelewa haya Kwa lugha nyepesi

Kuna huduma inafahamika kama mjasiriamali box huduma hii ilianzishwa na yas zamani Tigo Kwa lengo la kuwapa suluhisho wafanyabiashara na wajasiriamali kupata huduma za kimtandao kwaajili ya biashara zao Kwa gharama nafuu wakiyofautisha na mteja wa kawaida ambae Sio mfanya biashara huduma hizo ni

1. Internet isiyokuwa na kikomo
2. Internet ya makazi ya majumbani
3. Bulk sms
4. Vifurushi vya GB nafuu
5. Huduma ya CUG
Kifupi zipo nyingi sasa basi wewe Mwenye mtaji unapenda kuwa Wakala wao wa kuwatafutia au kuwahudumia Hawa wateja wote wenye uhitaji wa huduma Moja wapo kati ya nyingi uzitoazo kipi ambacho hakijaeleeweka

Tujenge hoja Kisha uliza swali
 
Acha ushamba
Mkuu ulikuwa na nafasi ya kuuliza swali usipoelewa haya Kwa lugha nyepesi



Kuna huduma inafahamika kama mjasiriamali box huduma hii ilianzishwa na yas zamani Tigo Kwa lengo la kuwapa suluhisho wafanyabiashara na wajasiriamali kupata huduma za kimtandao kwaajili ya biashara zao Kwa gharama nafuu wakiyofautisha na mteja wa kawaida ambae Sio mfanya biashara huduma hizo ni



1. Internet isiyokuwa na kikomo

2. Internet ya makazi ya majumbani

3. Bulk sms

4. Vifurushi vya GB nafuu

5. Huduma ya CUG

Kifupi zipo nyingi sasa basi wewe Mwenye mtaji unapenda kuwa Wakala wao wa kuwatafutia au kuwahudumia Hawa wateja wote wenye uhitaji wa huduma Moja wapo kati ya nyingi uzitoazo kipi ambacho hakijaeleeweka



Tujenge hoja Kisha uliza swal
 
Hapa kuna watu wanatafutwa walizwe.
Mkuu ulikuwa na nafasi ya kuuliza swali usipoelewa haya Kwa lugha nyepesi

Kuna huduma inafahamika kama mjasiriamali box huduma hii ilianzishwa na yas zamani Tigo Kwa lengo la kuwapa suluhisho wafanyabiashara na wajasiriamali kupata huduma za kimtandao kwaajili ya biashara zao Kwa gharama nafuu wakiyofautisha na mteja wa kawaida ambae Sio mfanya biashara huduma hizo ni

1. Internet isiyokuwa na kikomo
2. Internet ya makazi ya majumbani
3. Bulk sms
4. Vifurushi vya GB nafuu
5. Huduma ya CUG
Kifupi zipo nyingi sasa basi wewe Mwenye mtaji unapenda kuwa Wakala wao wa kuwatafutia au kuwahudumia Hawa wateja wote wenye uhitaji wa huduma Moja wapo kati ya nyingi uzitoazo kipi ambacho hakijaeleeweka

Tujenge hoja Kisha uliza swal
 
Toa maelezo hapa unauza nini au kutoa huduma gani ili upate pesa. Mambo ya kubonyeza link ndio kuanza kutupeleka kwa wakenya wanahack account za whatsapp na kuliza wanafamilia
Mkuu ulikuwa na nafasi ya kuuliza swali usipoelewa haya Kwa lugha nyepesi

Kuna huduma inafahamika kama mjasiriamali box huduma hii ilianzishwa na yas zamani Tigo Kwa lengo la kuwapa suluhisho wafanyabiashara na wajasiriamali kupata huduma za kimtandao kwaajili ya biashara zao Kwa gharama nafuu wakiyofautisha na mteja wa kawaida ambae Sio mfanya biashara huduma hizo ni

1. Internet isiyokuwa na kikomo
2. Internet ya makazi ya majumbani
3. Bulk sms
4. Vifurushi vya GB nafuu
5. Huduma ya CUG
Kifupi zipo nyingi sasa basi wewe Mwenye mtaji unapenda kuwa Wakala wao wa kuwatafutia au kuwahudumia Hawa wateja wote wenye uhitaji wa huduma Moja wapo kati ya nyingi uzitoazo kipi ambacho hakijaeleeweka

Tujenge hoja Kisha uliza swal
 
Sasa hayo yote si ungeyasema mwanzoni kwenye mada yako ili kuepuka maswali yasiyo ya lazima!
Hata ningeweka kila kitu Bado maswali yangewepi ndio maana nikatoa room ya kuuliza na ukajibiwa mkuu andiko Moja huwezi kamilisha maelezo ya kila mmoja mana kila mmoja anaelewa kivyake
 
mKuu nataka niwe nawauzia watu gb kwa bei nafuu ko apo huduma ipo mfano gb nauza 1000
 
Sasa
Hii ni biashara ya kuuza bidhaa Gani? Unajiungaje na hii biashara? Je hii huduma inaitwaje?
Haya maelezo unayotoa hapa nimeshaeleza unajua ? Haya sasa nakujibu tena

1 Hakuna bidhaa ni huduma
2 huduma hizi zitolewazo kiujumla zinaitwa mjasiriamali box ( ndani ya mjasiriamali box Kuna huduma nyingi pitia comment kuona huduma au tembelea tovuti ya mjasiriamalibox.tigo.co.tz
3 Wewe unakuwa Wakala wa mauzo wa hizo huduma zao Kwa jina la kitaalamu waliolipendekeza watakutambua kama DIRECT SALES AGENT
 
mKuu nataka niwe nawauzia watu gb kwa bei nafuu ko apo huduma ipo mfano gb nauza 1000
Inawezekana ila Hawana kifurushi Cha siku Wana Kwa mwezi ila Mteja anaweza kulipia kidogo kidogo mfano Mteja akachukua GB 30 alafu akawa analipia kila siku au week ilimradi mwezi ukifika awe amekamilisha malipo
 
Mnaohangaika kupata link nenda google andika SME IN BOX utakuja tigo business then click kashangae shangae ukikwama karibu
 
Back
Top Bottom