Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hebu sema neno moja roho yangu isuuzike mama la mama.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shenzy kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu sema neno moja roho yangu isuuzike mama la mama.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Shenzy kabisa
Ethiopia.Mimi sio mrombo wala mmarangu mkuu, sina damu ya kaskazini, natokea karibu na pembe ya Afrika...kwenye midege mingi😂
Ushafungua piem lakiniTunafanyaje Sasa?
Hapa ni Kama disco tu,unaimbisha ukifaniniwa mnasepa zenu kula mema ya nchi. Wenzetu kibao wameshamalizana tangu juzi bado Mimi na Extrovert tu tunaimbisha hapa hadharani. 😅😅
Utapata degedege wewe,acha kucheza na shangazi zako🤣🤣Hebu sema neno moja roho yangu isuuzike mama la mama.
Umenishinda tabia.Unaniita kaka uninyime nini?😂
Sina dada jf mimi 🤣🤣
Maisha popote acha umbwiga ndio maana unapigwa vibuti kila siku😂😂😂😂Ethiopia.
Sasa bongo umekuja kuzamia ili iweje si ungebaki kwenu kupambana na waasi wa Tigrey mkuu.
🤣🤣🤣🤣Nimekutafutia saizi yako umeshindwa kutumia sumaku zako,umeamua umgeukie shangazi....Usiwe na shaka kabisa, dada yuko katika mikono salama.
🤣 kumekuchaaa dadaShem to be,
Ongea naye vyema najitahidi kumpambania yeye na mwenzie Depal watoke nyumbani, Leo yenyewe nilikuwa Love Connect huko nawatafutia Connection na wanachagua sana imagine..!!
Kheeee kumbe na Satoh Hirosh ni dark hensam😂😂😂😂😂😂
totoo hakuna tall, dark, henshamu and rich wa peke yako..!!
tafuta kajamaa kako hakatazamiki mara mbili, ruka naye ndani..!
Tena ashikuru Mungu Mimi siyo tall,dark and hb ila kiukweli natazamika.😂😂😂
totoo hakuna tall, dark, henshamu and rich wa peke yako..!!
tafuta kajamaa kako hakatazamiki mara mbili, ruka naye ndani..!
🤣😂😂😂
totoo hakuna tall, dark, henshamu and rich wa peke yako..!!
tafuta kajamaa kako hakatazamiki mara mbili, ruka naye ndani..!
Anhaa kumbe ndo hivyo?Ndio matatizo ya kutokuwa msikivu kule unyagoni ulimsumbua Sana kungwi wewe!mgodi sio pesa,mgodi umebeba Mambo mengi,busara,utu,utulivu,wema na kapochi kamejaa🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Kama hutaki mtu wa namna hiyo Ukienda kuuzishwa maandazi huko sitaki kilio
MRembo hujambo?🤣🤣🤣🤣Nimekutafutia saizi yako umeshindwa kutumia sumaku zako,umeamua umgeukie shangazi....
😆😆😆😆Unaniita kaka uninyime nini?😂
Sina dada jf mimi 🤣🤣
Hata mie ni mjomba mayo, Scania kubwa ila siti ya dereva ni ile ile. Usikatae wito kisura 😀😀😀 great things come in small packages.Utapata degedege wewe,acha kucheza na shangazi zako🤣🤣
Nikurahisishe kazi kuhusu Mimi nilivyo mbovu..we nenda kamuulize Depal atakupa majibu yote. Mimi siyo hensam ila natazamika kidogo tu.Kheeee kumbe na Satoh Hirosh ni dark hensam😂😂😂
Siendi tena piem
Nataka kasura kangu ka peke yangu
Kwisha habari yake
Ubaya unauleta wewe kuniita kaka, mimi aio kakako tuelewane kwanza😀😆😆😆😆😆😆
Kakaa kaka kakaaaaaa
Kwani tuna baya mimi na wewe