Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Mimi sio mrombo wala mmarangu mkuu, sina damu ya kaskazini, natokea karibu na pembe ya Afrika...kwenye midege mingi😂
Ethiopia.

Sasa bongo umekuja kuzamia ili iweje si ungebaki kwenu kupambana na waasi wa Tigrey mkuu.
 
Shem to be,
Ongea naye vyema najitahidi kumpambania yeye na mwenzie Depal watoke nyumbani, Leo yenyewe nilikuwa Love Connect huko nawatafutia Connection na wanachagua sana imagine..!!
🤣 kumekuchaaa dada
Hizi connection ni kali sana, tuendelee tutatoboa tu na mwishoni tuimbe chereko chereko 👗👰👘

Nalegeza machaguo 🫣
 
😂😂😂
totoo hakuna tall, dark, henshamu and rich wa peke yako..!!
tafuta kajamaa kako hakatazamiki mara mbili, ruka naye ndani..!
Tena ashikuru Mungu Mimi siyo tall,dark and hb ila kiukweli natazamika.

Darlin kuhusu mwonekano usiwe na Shaka,tatizo litakuwa hela tu,ingawa nalo linatatulika maana sijakwatwa mikono.
 
Ndio matatizo ya kutokuwa msikivu kule unyagoni ulimsumbua Sana kungwi wewe!mgodi sio pesa,mgodi umebeba Mambo mengi,busara,utu,utulivu,wema na kapochi kamejaa🤣🤣🤣🤣🤣Sasa Kama hutaki mtu wa namna hiyo Ukienda kuuzishwa maandazi huko sitaki kilio
Anhaa kumbe ndo hivyo?
Unajua kuchagua sisy.
Nikiolewa na lofa si utatuombea kwa shemela awe anatupiga tafu?
 
Back
Top Bottom