Palina
JF-Expert Member
- Oct 9, 2021
- 3,551
- 9,522
Really??? Kukupenda imekuwa usumbufu... You mis a lot kutoka kwangu , mimi siyo umbwa kama hizo umbwa zingine[emoji23]
Vipi upo kama huyu? Unandevu kama huna usinisumbue PM 😃😃😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Really??? Kukupenda imekuwa usumbufu... You mis a lot kutoka kwangu , mimi siyo umbwa kama hizo umbwa zingine[emoji23]
mbona mrembo huyu.... 😂 si atakua chama cha upinde...😂View attachment 2601791
Vipi upo kama huyu? Unandevu kama huna usinisumbue PM 😃😃😃
Hamna sio , ni actor wa #Kenya anaitwa #NickMutuma HE ISSA MAN 😘mbona mrembo huyu.... 😂 si atakua chama cha upinde...😂
Daaahh ningekuja PM mwenywe tatizo umejielezea sana kabla ya tongozo
😂😂😂😂😂Hiyo swaga hutoboi au muulize @manyanza🤣
Huyo Lenie kwa mkono wake kaandika anakupenda wewe na Mimi Ni rafiki take tu.Utakuwa unanionea Bure kaka. Mali nimeikuta haina mtu, na hakuna aliyemtaja. Kosa langu nn? 😅😅
Mkuu ina maana hujastukia tu kuwa da Joannah yeye ndo anakutaka ila ananitumia mim kama kivuli😂😂.Joan anakutakia mambo mazuri unakataaje mrembo, 😀,, au umesahau mkataa pema pabaya panamuita?
Wewe huyu huyu?😂😂😂😂😂
Acha kumuharibia mwenzio kaka angu
😂😂😂😂Wewe huyu huyu?
Yaani mapenzi bila pesa kusima kwanza?🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Kweli mkataa pema pabaya panamuita...kwa hiyo Mimi kukuonyesha mgodi unaotembea umeniona mwehu?Shauri yako Extrovert shem Kama shem najua kwako hakishindikani kitu mtunze mdogo wanguMkuu ina maana hujastukia tu kuwa da Joannah yeye ndo anakutaka ila ananitumia mim kama kivuli😂😂.
Nikwambie kitu shem,ukimpata dada yangu umepata mke mwema.
Hana kasoro mi shida tupu😂😂
Wewe pm njoo tu,kupendana tutapendana juu kwa juu.Daaahh ningekuja PM mwenywe tatizo umejielezea sana kabla ya tongozo
Umeniogopesha aiseeee siji tena
Carleen dada ndoa ilikua tuwe nayo mwaka huu ila nimeahirisha😆
Ni mapensii sio mapenzi😂😂😂😂😂😂😂
Mbona mie sipendi pesa jaman
Niko na mapensi ya kweriiiiiii😌
Tatizo upendo Kaka.Mkuu mbona pisi zipo nyingi tu humu? Achana na hiyo kampeni 😅😅