Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Nope
.hio ni dusky complexion,

light skin or fairness skin mfano mchek #Zari

Afu huyu mjamaa unaeza enda kule ttiktok #NikMutuma ukajiridhishe
Haha nimekupata uzuri kabisa, ila nafikiri wanawake wengi wanaposema wanapenda dark guys, unaelewa wanamaanisha nini
 
Back
Top Bottom