Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 9,164
- 18,402
Ulikuwa lazima ule ban....sio kwa rangi hizo [emoji23]Nakubusu dadaangu nakupenda sana na huyo paka wako [emoji8][emoji7][emoji3059][emoji8][emoji8][emoji847][emoji847]
-huna baya na mtu.
-mcha Mungu.
-mchapa kazi.
-mzuri wa sura na umbo [emoji28][emoji12]
-usiye na makuu.
-mshauri mzuri.
-mcheshi.
-ww sio cheap
Daaaah mumeo anafaidi sana.
Huna hata mdogo wako wa kike unisogezee hapo [emoji846][emoji846] vizuri kula na mimi kaka yako bana [emoji56][emoji3526][emoji41] maana wife materials mmebaki wachache sana [emoji2] [emoji16][emoji16]
View attachment 2604102View attachment 2604103