Muuza Viat
JF-Expert Member
- Dec 23, 2022
- 2,826
- 7,388
Nimesubir kutajwa naona ngoma ngumu
Nimeambatanisha na kapicha kangu yoyote aliyebak anipm
Nimeambatanisha na kapicha kangu yoyote aliyebak anipm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni Mzima wa afya Mkuu hofu kwako??
PoleThere is no saddening thing than reading 1796 posts and not being mentioned.
Kuna wengine hatu exist ktk macho ya warembo wa JF?
Asante.Pole
Mie kibao wananitongoza PM, kama hawafunguki niwawekee post zao hapa?Kama mjuavyo, kazi ya moyo si kusukuma damu tu. Kazi nyingine kubwa ya moyo ni kupenda, na kila mtu anapenda kupendwa.
Na humu ndani kuna watu wana hisia na mtu fulani (ID), ila wanashindwa kuongea.
Kwa kutumia uzi huu, funguka ili naye ajue. Inawezekana na yeye ana hisia na wewe ila anashindwa pa kuanzia, pia ni vizuri ukatoa na sababu zilizo kushawishi.
Wa kwangu anajulikana. Haya kazi kwenu, tiririka.
Umepevuka kimawazo na kifikra kweli Faiza?! 🤔🤔🤔Mie kibao wananitongoza PM, kama hawafunguki niwawekee post zao hapa?
Hapo sasa!
Upo namba 2432😂Hata sijioni nipo namba ngapi!!!
Ebu weka tuthibitishe, isijekuwa propaganda 😂Mie kibao wananitongoza PM, kama hawafunguki niwawekee post zao hapa?
Hapo sasa!
Kwema?Pole
KwemaKwema?
Sijaona jibu lako ktk huu uziKwema
Mimi nasoma comment tuSijaona jibu lako ktk huu uzi