Unamtaka nani humu, muwe naye kwenye mahusiano?

Ulikuwa lazima ule ban....sio kwa rangi hizo [emoji23]
 
🀣🀣mademu wa huku wana roho mbaya sana wanaona mvua zilivyokubwa na wanajua kabisa nalea nina kachanga. Hakuna hata mmoja aliyejitokea kunitaja
Depal hadi wewe mtan 🀣🀣🀣
Mpaka hii hali ya hewa huku Kaskazini ikate, tutashuhudia mengi mtani.
 
Sera zangu tamu Zipo kwa ajili yako, hapa wavimba macho wengi watagonga ulimbo unase kama chiriku. Njoo PM nikupe yaliyobaki.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Bas inatosha. Fungua PM nakuja. Nkishaingia tu ufunge PM chap.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…