Dah! ng'ombe wa maskini hazai 🙁
We love you totoNobody loves me😪
Umemaliza home work? 😅😅Nobody loves me😪
Kwa uzoefu;😃😃😃😃 Equation x hivi mwanamke ndo anaanzaga ku PM mtu kweli??
Equation x atakuja kwa niaba yangu kusikiliza na kuwasilisha hojaPm yako imefungwa[emoji3064]
Maliza shule kwanza, mapenzi utayakuta mbele kijana.Nobody loves me😪
we mzee nakuchukia umeniibia Lenie 😂Umemaliza home work? 😅😅
nataka saivi.....Maliza shule kwanza, mapenzi utayakuta mbele kijana.
Utapendwa hadi uchoke mwenyewe ukishapata maisha
Kanaonekana hakapendi kusoma haka kadenti🤣Umemaliza home work? 😅😅
@Equation x kaka nisaidie nimemuelewa mtotoEquation x atakuja kwa niaba yangu kusikiliza na kuwasilisha hoja
Once there are mutual understanding he will let me know
Ndio tena tukajenge mji wetu kama Dubai🤩Awee usiniambie
🤣🤣🤣Napenda competition,ila sio kwenye mapenzi. Ndio maana nimemtag ili ajue, akikuona akae mbali
Ni jambo la heriHahahahaha nishaolewa hapa nalea muunganiko