Ndio, je kwani?
Nitaongea naye, subiri anifungulie mlango; muhimu tu asiniteke, mabinti wa siku hizi wanatuteka sisi wazeeMkuu naomba uwasilishe kilio changu kwa Palina kama alivyoshauri kuwa wewe ndiye upeleke hoja zangu kwake.... Mkuu nimeshindwa hata kwenda kucheki gemu ili mradi tu nijue hatima yangu na huyu mrembo.
AiseeHata sielewi
Ujumbe umemfikia, tusubiri majibu
Ukianza kutumia wembe, utajua
Nadhani watakuwa wamesikia. Kuanzia sasa wakikuona wawe na adabu kama wapo ukweniKweli maana atakua hana faida, kwanini ataje mtu wa mtu?
Haoni watu wengine kwani au ndio mazarau
Nobody loves me[emoji25]
Nilidhibitisha uliposema sijatoa mahari wakati hali yangu unajua naishi chini ya $1.Kwahyo ndio ukahamia kwa bebe mpya mara hii, hata hujasubiri uthibitishe ukweli.
Wewe sio mwaminifu kabisa
Ulitakiwa hata kukopa ukope kwa ajili yangu, ndio niamini kweli unamaanishaNilidhibitisha uliposema sijatoa mahari wakati hali yangu unajua naishi chini ya $1.
NakaziaNadhani watakuwa wamesikia. Kuanzia sasa wakikuona wawe na adabu kama wapo ukweni
Palina unanitia majaribuni lakini, unataka kunisahaulisha Aaliyah Nini.πππ hamna nimependa tu ndevu zako
π π π maisha ni haya haya, kula vyuma
Kikubwa amani mnialike kwa harusi nitakuwa dj wa kujitolea.Nadhani watakuwa wamesikia. Kuanzia sasa wakikuona wawe na adabu kama wapo ukweni
Vipi sijapata shemeji bado?Leo ni chagulaga!Niko hapa sis asante kwa kunijaliπ
Saluti kama kibaπ π π maisha ni haya haya, kula vyuma