π π duh!Weee u dj hapana, asije kutupigia nyimbo za singeli bure akatuharibia sherehe.
Huyo tumuweke kwenye vinywaji, ili apige vyombo kutoa machungu
Sawa, vip umetajwaHapana sina any bad intention
Ukianza kutumika kwenye hayo maeneo mengine
Tatizo hataki maneno, anataka mzikiNasikia Unataka kumsomesha shemeji yako bila kunipa taarifa,je Unataka kunisuprise siku ya graduation?
Hamna hata πSawa, vip umetajwa
Mi wananiogopaππ.Vipi sijapata shemeji bado?Leo ni chagulaga!
π₯² kumbe nilikuwa wa mchanaHuyo dogo anapenda slope, si anaskiaga story za mashangazi kutunza viben10.
Naomba kukutaja Analyse π₯°
Atakayejitokeza mwingine ni batili
πMi wananiogopaππ.
Ukinipenda wewe dada yangu inatoshaπ
Pole, tusubiri asubuhi tu aisee. Sasa jua lishazamaπHamna hata π
Tulia wewe kama ni ndevu hapa ni Pakstan[emoji23]Sawa, vip umetajwa
Say no more,, niko hapa [emoji41]Mi wananiogopa[emoji23][emoji23].
Ukinipenda wewe dada yangu inatosha[emoji7]
Huyo kwanza atakua kwenye mitihaniπ
niwe naitwa 'uncle' π
Yaani ndio shida hiyo, moyo wake sijui una ukubwa gani hadi atupange hivyoYuko vizuri Ngosha kwenye mahaba na matunzo uchoke wewe,sema tu akiona mrembo mwingine Tena naye anampendaaaa yaani itabidi tuunganishe ulinzi tumbane kila kona